Kuna watu wana upendeleo humu

Kuna watu wana upendeleo humu

anataka ushirikiano ajue Pm zinatumikaje, anafikaje, na mitongozo isimpitie mbali...
mimi nimemuelewa sana tu!
[emoji15] mitongozo? Kwani mpaka sasa bado kuna kutongozana? Mbona ilikwishaga zamani.
 
Mgeni una gubu anyway karibu sana
 
tecno hailali kivipi na aliyekuambia hailali ni nani
Karibu sana usije ukalala
 
kwendaaaaaaa yaani umejiunga jumatatu au sijui umekuja na ka id kako kpya unataka ushirikiano lipia
 
Back
Top Bottom