Kuna watu wana upendeleo humu

anataka ushirikiano ajue Pm zinatumikaje, anafikaje, na mitongozo isimpitie mbali...
mimi nimemuelewa sana tu!
[emoji15] mitongozo? Kwani mpaka sasa bado kuna kutongozana? Mbona ilikwishaga zamani.
 
Mgeni una gubu anyway karibu sana
 
tecno hailali kivipi na aliyekuambia hailali ni nani
Karibu sana usije ukalala
 
kwendaaaaaaa yaani umejiunga jumatatu au sijui umekuja na ka id kako kpya unataka ushirikiano lipia
 
Wakuu [emoji27] [emoji26] tangu juzi nimeomba ushirikiano lakini sijaona yeyote alierespond au sababu Mimi mgeni humu? Acheni hizo mambo wazee.
Una Mke Lakini Mgeni???[emoji86] [emoji844]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…