Kuna watu wanaishi kama hawatakufa tubadilike tutubu tumrudie Muumba

Kuna watu wanaishi kama hawatakufa tubadilike tutubu tumrudie Muumba

Qopy

Senior Member
Joined
Jul 2, 2024
Posts
110
Reaction score
290
Ndugu zangu natumaini mpo salama lengo la thread hii ni kuhamasishana sisi binadamu kuishi kwa upendo na kutokuwa na chuki baina yetu.

Hamna mtu ambaye amekamilika kwenye hii dunia ila unakuta watu wanatumia mapungufu ya mtu kama yeye amekamilika.

Nazidi kusisitiza tu tuishi kwa upendo bila chuki kwa maana kila kitu humu duniani tutakiacha tutaondoka kama tulivo kama mungu amekubariki kuwa na fedha nyingi au mali nyingi mshukuru yeye.

Nina mengi ya kuongea ila kwa leo niishie hapa tuishi kwa upendo bila chuki na bila kubaguana.
 
Ndugu zangu natumaini mpo salama lengo la thread hii ni kuhamasishana sisi binadamu kuishi kwa upendo na kutokuwa na chuki baina yetu.

Hamna mtu ambaye amekamilika kwenye hii dunia ila unakuta watu wanatumia mapungufu ya mtu kama yeye amekamilika.

Nazidi kusisitiza tu tuishi kwa upendo bila chuki kwa maana kila kitu humu duniani tutakiacha tutaondoka kama tulivo kama mungu amekubariki kuwa na fedha nyingi au mali nyingi mshukuru yeye.

Nina mengi ya kuongea ila kwa leo niishie hapa tuishi kwa upendo bila chuki na bila kubaguana.
Umewafanya nini Ndugu?
 
Ufanye upumbavu halafu usichukiwe kisa tu sote tutakufa?
Hili jambo wanalipenda sana watu waovu.

Anakutendea jambo baya sana tena akiwa anajitamba na majivuno.

Baadae anakwambia usiweke mambo ya zamani moyoni, usilipe kisasi, no one is perfect.

Ujinga huu China wameukataa ndio maana wanasonga

Umezingua na wewe unazinguliwa ili washenzi wengine wakome wasirudie.
 
Hili jambo wanalipenda sana watu waovu.

Anakutendea jambo baya sana tena akiwa anajitamba na majivuno.

Baadae anakwambia usiweke mambo ya zamani moyoni, usilupe kisasi, no one is perfect.

Ujinha huu China wameukataa ndio maana wanasonga

Umezingua na wewe unazinguliwa ili washenzi wengine wakome wasirudie.
Ndio ndio upo sahihi kabisa
 
Nina mengi ya kuongea ila kwa leo niishie hapa tuishi kwa upendo bila chuki na bila kubaguana.
Nitakufungua Ubongo kuna Watu waliishi wakafa wakaishi tena wakafa wakaishi tena wakafa halafu sasa wanaishi tena wanasubiri kufa tena

Fumbo la Imani
Mwelevu atalifumbua
 
Nitakufungua Ubongo kuna Watu waliishi wakafa wakaishi tena wakafa wakaishi tena wakafa halafu sasa wanaishi tena wanasubiri kufa tena

Fumbo la Imani
Mwelevu atalifumbua
Leta ushahidi mzee
 
Ufanye upumbavu halafu usichukiwe kisa tu sote tutakufa?
Unaonekana una chuki kwenye maisha yako hujawahi kufanya makosa nyie ndio watu ambao mnahukumu watu wengine alf makosa yenu mnayaficha muonekane wema
 
Hili jambo wanalipenda sana watu waovu.

Anakutendea jambo baya sana tena akiwa anajitamba na majivuno.

Baadae anakwambia usiweke mambo ya zamani moyoni, usilipe kisasi, no one is perfect.

Ujinga huu China wameukataa ndio maana wanasonga

Umezingua na wewe unazinguliwa ili washenzi wengine wakome wasirudie.
Point yangu sijamaanisha huko
 
Unaonekana una chuki kwenye maisha yako hujawahi kufanya makosa nyie ndio watu ambao mnahukumu watu wengine alf makosa yenu mnayaficha muonekane wema
Watu waongo waongo ni watu wabaya sana muongo anaweza akakusababishia ufungwe muongo anaweza akakusabishia umauti katika watu nachukia ni watu waongo ukiniletea uongo uongo my friend umeisha si-entertain watu waongo
 
Watu waongo waongo ni watu wabaya sana muongo anaweza akakusababishia ufungwe muongo anaweza akakusabishia umauti katika watu nachukia ni watu waongo ukiniletea uongo uongo my friend umeisha si-entertain watu waongo
Kweli watu waongo wabaya sana pia hao watu waongo wanaweza kusababishia ufukuzwe kaz
 
Hii ya kusema ishi na watu vizuri sababu tutakufa Huwa naiona haina mashiko.mfano mtu anakuletea dharau wewe ukubali tu kudharaulika.kuwa mwema Kwa watu wapuuzi haijakaa sawa
 
Back
Top Bottom