Kuna watu wanaishi kama hawatakufa tubadilike tutubu tumrudie Muumba

Hii ya kusema ishi na watu vizuri sababu tutakufa Huwa naiona haina mashiko.mfano mtu anakuletea dharau wewe ukubali tu kudharaulika.kuwa mwema Kwa watu wapuuzi haijakaa sawa
Hapo kwenye dharau ndio changamoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…