kuna watu wanajua kujisifia ujinga sijui wanaona jf ni ya mazuzu

No More Drama

Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
95
Reaction score
19
Mwone huyu alipost ujinga juz baada ya necta kutangaza upya matokeo ya form 4 anajiita et sa siingekuwa siri yake tu
secret 23:20 30th May 2013
Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) haha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!! !!!!!!!
 
Katika kubishana na watu akapost tokeo lake la sa hv na namba yake hakujua kuwa yale matokeo bado yapo ilikuwa hivii ~endelea~~
kama huamini angalia
S0534/0130 M 14 I CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
 
Mara yale ya zamani yakaingizwa chap sikumwona tena kwenye uzi nahisi yupo facebook kwa sa hivi~~~unayajua yalikuwa ni haya~~
Huyu Kilaza asiturushe roho hapamatokeo ya awali ya hiyo namba ni
S0534/0130
M
16 I CIV-C HIST-C GEO-C KISW-C ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
na matokeo mapya ni
S0534/0130
M
14 I CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
Kwa anachokiandika haya sio matokeo yake.
 
ila ajue kwamba anadharau shule za gvt akati wote tutakutana kwenye vyuo mbalimbali nadhani anatatizo la kisaikolojia.!
 
Mkuu watu tulisha mgundua kwa maana haiwezekani.
 
ila ajue kwamba anadharau shule za gvt akati wote tutakutana kwenye vyuo mbalimbali nadhani anatatizo la kisaikolojia.!

et anaringia pesa za baba yake teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…