Kuna watu wanajua kutumia fursa

Kuna watu wanajua kutumia fursa

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Habari za jioni wakuu,

Straight to the point, mimi ni mmoja ya watu wanaopenda kutunza vitu kama coins, picha, etc. as souvenirs. Sasa mwaka 2016, BoT ilipotimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake walitoa sarafu ya shilingi elfu hamsini.

Hii sarafu nilijaribu kuitafuta bila mafanikio kwani nadhani walitoa in limited supply. Sasa leo katika pita pita zangu nimeikuta eBay mtu anaiuza kwa takribani dola 249 na tena hayuko nchini.

Yuko ughaibuni huko, ndio nikaamini watu wanajua kutumia fursa kwa kweli.

Screenshot_2024-07-17-16-40-36-245_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2024-07-17-16-40-11-827_com.android.chrome-edit.jpg
Screenshot_2024-07-17-16-40-02-147_com.android.chrome.jpg
 
Habari za jioni wakuu,
Straight to the point, mimi ni mmoja ya watu wanaopenda kutunza vitu kama coins, picha, etc. as souvenirs. Sasa mwaka 2016 , BoT ilipotimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake walitoa sarafu ya shilingi elfu hamsini. Hii sarafu nilijaribu kuitafuta bila mafanikio kwani nadhani walitoa in limited supply. Sasa leo katika pita pita zangu nimeikuta eBay mtu anaiuza kwa takribani dola 249 na tena hayuko nchini, Yuko ughaibuni huko, ndio nikaamini watu wanajua kutumia fursa kwa kweli.
😮 Sikuwahi kufahamu, bado inatumika?
 
Back
Top Bottom