Mkogoti
TAPELI Mkubwa
- May 3, 2020
- 2,415
- 3,924
Habari wakuu?
Ipo hivi kelele zote hizi za upinzani sijui CHADEMA au ACT-Wazalendo pote huko kuna watu wanajua kabisa hiki chama kikiingia madarakani mmoja wapo wagombea wao akapata Urais basi lazima anajua kuna cheo lazima atapata, Muangalie mtu kama Sijui wanamwita shangazi jana anaonekana adi anacheza kwenye mkutano wa ACT-Wazalendo.
Sasa mtu kama huyo anajua lazima kama asipoteuliwa kwenye kanafasi basi ni bahati au viti maalum, Tumtazame Mdee wa CHADEMA kelele zote anajua Lissu akiingia Ikulu basi yeye uwaziri unamuhusu ndo maana anapiga kelele sana, yani wote wote ni wachumia tumbo hakuna sijui kuisaidia nini wala nini, wote ni familia zao ndo zitanemeeka lakini mtu kama mimi atanijua saa ngapi?
Na hilo neno pia linawahusu Upande ule wa kijani hakuna chochote watu tunalia na njaa matatizo chungu nzima Harafu mtu unifate eti nikapige kula kati ya CCM, ACT Wazalendo, CHADEMA nitakupiga mpaka nikuue mimi sina chama napambana mwenyewe na life langu linatosha siwezi kumpigia mtu anaenda kula hela peke ake hiyo kwangu BIG NO.
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE 🤪🤦🏃
Ipo hivi kelele zote hizi za upinzani sijui CHADEMA au ACT-Wazalendo pote huko kuna watu wanajua kabisa hiki chama kikiingia madarakani mmoja wapo wagombea wao akapata Urais basi lazima anajua kuna cheo lazima atapata, Muangalie mtu kama Sijui wanamwita shangazi jana anaonekana adi anacheza kwenye mkutano wa ACT-Wazalendo.
Sasa mtu kama huyo anajua lazima kama asipoteuliwa kwenye kanafasi basi ni bahati au viti maalum, Tumtazame Mdee wa CHADEMA kelele zote anajua Lissu akiingia Ikulu basi yeye uwaziri unamuhusu ndo maana anapiga kelele sana, yani wote wote ni wachumia tumbo hakuna sijui kuisaidia nini wala nini, wote ni familia zao ndo zitanemeeka lakini mtu kama mimi atanijua saa ngapi?
Na hilo neno pia linawahusu Upande ule wa kijani hakuna chochote watu tunalia na njaa matatizo chungu nzima Harafu mtu unifate eti nikapige kula kati ya CCM, ACT Wazalendo, CHADEMA nitakupiga mpaka nikuue mimi sina chama napambana mwenyewe na life langu linatosha siwezi kumpigia mtu anaenda kula hela peke ake hiyo kwangu BIG NO.
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE 🤪🤦🏃