Kuna watu wanakunywa BIA hatari.

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,496
Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
 
Henken sio bia....... Hizo ni juisi. Waambie waamie kwenye SAFARI THE KICK AU BALIMI
 
Heinken ni kama soda tu,kilevi ni kidogo sana. Halafu ukinywa ata mia upati hang over
 
Sasa unakunywa nn?,manake kama ungekuwa unakunywa pombe usingekuwa na mida wakuwashikia wenzio vizibo.

Nasukuma glass yangu ya dompo mixed with mirinda nyeusi.
How sweet it is.?
 
hao ndio wanaume was dar wanakunywa Heineken, Windhoek na c lite...alafu wanazima daaah!! ukiwapa balimi je??
Balimi ilitaka kuniua.Hapana chezea hiyo kitu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…