chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Ofkoz. Henken kwa BALIMI si chochoteHuwez Ku compare Heinken na Balimi
Sisi tufanyeje?Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
Id.BAVARIA.lazima utakua na share na kiwanda cha ze lagerNipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
Basi sawaNipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
hiyo ni juice,sio pombeNipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
waambie wakubadilishie,wakupe bia ya Miller,sio chungu iko kama wineNna glass ya overmeer. Halafu chungu kinoma. Imenibidi nichanganye na mirinda nyeusi.
Zote....Wewe unakunywa ngapi?
Heinken ni kama soda tu,kilevi ni kidogo sana. Halafu ukinywa ata mia upati hang over
Na nyuki pia wanapenda tamutamu,watchout!!Nimekuja kufurahia sio kulewa. Napenda kitu tamutamu.
Kwa wasiojua Heineken watazidharau na kuziiita juice.Lakini zinalewesha sana na % ya alcohol inakaribiana na safari lakini ni pombe flani hivi ya kistaarabu ambayo hata unywe vipi haikusumbui kichwani.Unalewa kistaarabu sana.Heinken ni kama soda tu,kilevi ni kidogo sana. Halafu ukinywa ata mia upati hang over
Hiyo itakuwa ni dry labda mara ya pili waulize kama kuna overmeer semi sweet wakupeNna glass ya overmeer. Halafu chungu kinoma. Imenibidi nichanganye na mirinda nyeusi.