Kuna watu wanakunywa BIA hatari.

Kuna watu wanakunywa BIA hatari.

Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
Sisi tufanyeje?
Tuwakataze?
Umewauliza kwanini wanakunywa hivo?
 
Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
Id.BAVARIA.lazima utakua na share na kiwanda cha ze lager
 
Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
Basi sawa
 
Nipo hapa kwenye harusi ya rafiki angu kumpa kampani.
Classmates tumechukua meza nzima. Hawa jamaa wanapeleka pombe aibu. Na hakuna aliefikisha 30.
Ila toka waingie hadi sasa kila mmoja ameshusha heineken kama 8 hivi na hata nusu ya harusi haijafika.
Dah. Nimewakubali.
hiyo ni juice,sio pombe
 
Heinken ni kama soda tu,kilevi ni kidogo sana. Halafu ukinywa ata mia upati hang over
Kwa wasiojua Heineken watazidharau na kuziiita juice.Lakini zinalewesha sana na % ya alcohol inakaribiana na safari lakini ni pombe flani hivi ya kistaarabu ambayo hata unywe vipi haikusumbui kichwani.Unalewa kistaarabu sana.
 
Nna glass ya overmeer. Halafu chungu kinoma. Imenibidi nichanganye na mirinda nyeusi.
Hiyo itakuwa ni dry labda mara ya pili waulize kama kuna overmeer semi sweet wakupe
 
Back
Top Bottom