Kuna watu wanapata like humu za ajabu

MAGO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,278
Reaction score
3,023
Kitu nimekigundua hii JF kuna watu hata wa comment ''ahahahha'' yaani wacheke ama hata kuweka nukta tu kwenye comment zao wanakula like za kutosha.

Namaana gani? like zinatoka kwa kufahamiana na umaarufu na siyo pointi ama hoja atoazo mtu.. mwingine hata aandike pointi kiasi gani raia wanapita kama hawaoni tetteteehh..

Like za hivi zinaenda sana kwa Ke sijui ndo njia mpya ya kupata attention kutoka kwao. wanaJF kuweni fair kutoa like..
 
Kuna like za bure kwny uzi maalum.
Hata ukipost hewa unakula like.
Huku kwingine inategemeana na point na muktadha.
Kumradhi kwa kuchanganya lugha.
 
Hahahahahahaaaaaaaa.

Kuna mwingine alisema uzi wake unabuma baadhi ya member wakicomment.
Mnachekesha sana aisee.

Likes japo maana yake halisi ni ''Kupongeza" mimi naitumia pia kama kumpa mtu ujumbe kuwa nimepita sehemu aliyopita yeye na yeye akija kuangalia notification ya like niliyompa ataweza kuja kusoma nilichokiandika pia.
 
Wozaaaaaaa ila wewe [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nimeiona Twitter, mtu anaejulikana akiandika hata ujinga watu wanasupport kwa kumpa like zaidi ya 1k.
Hahahaaaa.

Mimi ambaye sio mkongwe na mpenzi sana wa Twitter naweza kukaa na notification za twitter hata kwa siku mbili sijazifungua, nikizifungua pia naishia kuretweet tu.

Hizo like naziona tu watu wanavyomwagaiana hasa kwa wale wanaojuana na kuzoeana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…