Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Habari za Like(s) imekua hotcake mwaka huu..

Tumia app ili usiumie roho mkuu maana app itaonesha kila mtu amekula likes 5 tu.
 
Njoo uzi wa like utakula like mpaka ukimbie
 
Khaa!! Hivi kuna watu wanasaka likes humu, nyie ndio mnakuwa na stress zisizo na kichwa wala miguu, stress za kujitakia..
So ukiona mtuu kapata likes nyingi kwa kukomenti vinukta nawe umeweka koment yako unayohisi ya maana ndio roho inakuuma eeh!! Wacha kucomplicate maisha, maisha yako so eazy.. Badala ya kuondoka bila stress unaishia kuzibeba hapa jf
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Like zenyewe tano tu unalalama na ingekuwa zile za fb na Instar zinafika 5000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…