Kuna watu wanapata like humu za ajabu

Ni kweli kabisa. Yaani wale jamaa wanapeana like kwa kujuana hasa ukiwa mkeleketwa wa vyama vya siasa.
 
Ni kweli kabisa. Yaani wale jamaa wanapeana like kwa kujuana hasa ukiwa mkeleketwa wa vyama vya siasa.
Pia ukiwa na follower wengi nayo inasaidia kupata hizo like maana ukipost kila aliyekufollow atapata notification ya tweet yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…