Mkuu umeandika Uzi mrefu lakini umeshindwa kufanya utafiti na kujua hii picha ilipigwa lini?
Hii picha sio ya jana maana mi niliiona imepostiwa toka siku singida anachezq na azam sasa wewe kwa kukurupuka kwako unaundia hoja kitu ambacho hujui kimetokea lini?