....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.
Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
.... Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....