Kuna watu...

Kuna watu...

Hivi kwani hawa marafiki ni wa kazi gani?
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.

Yamkini wewe ni fundi wa kulalamika sana na kutaka kutendewa mema ili hali wewe huwezi kuwahifadhi walio marafiki zako.Isitoshe urafiki una viwango si kila rafiki anayajua yote ya kwako moyoni.Ni kawaida wanadamu pamoja na wewe kupenda sana kupokea pasipo kutoa,Kupenda sana kuheshimiwa pasipo kuheshimu. Una kasoro za wazi ambazo wewe hutaki kujirekebisha unategemea rafiki gani wanakuvumilia tuu ili hali wewe unawaumiza.?Urafiki ni gharama ya kujitoa na kumkubali mwenzako, Vivyo hivyo kama anavyokukubali pia.LAKINI ELEWA DUNIANI HAKUNA FREE GIFT hata siku moja.Urafiki nayo ni gift kwa hiyo usitegemee kuwa ni free tu una gharama zake pia.
 
Hivi kwani hawa marafiki ni wa kazi gani?

wa shida na raha. Shida ni pale umbea na ufukunyuku unapotanda urafiki huo na raha ni pale unapokuwa na hitaji hao hao wakasimama nawe bega kwa bega, kwa hali na mali.

Kiujumla marafiki wanahitajika hata katika kubadilishana mawazo. Cha muhimu ni kuwajua marafiki zako na jinsi ya kuwatumia.
 
Yamkini wewe ni fundi wa kulalamika sana na kutaka kutendewa mema ili hali wewe huwezi kuwahifadhi walio marafiki zako.Isitoshe urafiki una viwango si kila rafiki anayajua yote ya kwako moyoni.Ni kawaida wanadamu pamoja na wewe kupenda sana kupokea pasipo kutoa,Kupenda sana kuheshimiwa pasipo kuheshimu. Una kasoro za wazi ambazo wewe hutaki kujirekebisha unategemea rafiki gani wanakuvumilia tuu ili hali wewe unawaumiza.?Urafiki ni gharama ya kujitoa na kumkubali mwenzako, Vivyo hivyo kama anavyokukubali pia.LAKINI ELEWA DUNIANI HAKUNA FREE GIFT hata siku moja.Urafiki nayo ni gift kwa hiyo usitegemee kuwa ni free tu una gharama zake pia.
Aiseeeee!Sure....some of us are like that...we take but we never give!!
 
Well asanteni wote kwakuchangia ...surely wapo wengine waliojifunza kitu au viwili na kwa hilo sina budi kushukuru!
 
wa shida na raha. Shida ni pale umbea na ufukunyuku unapotanda urafiki huo na raha ni pale unapokuwa na hitaji hao hao wakasimama nawe bega kwa bega, kwa hali na mali.

Kiujumla marafiki wanahitajika hata katika kubadilishana mawazo. Cha muhimu ni kuwajua marafiki zako na jinsi ya kuwatumia.

Wapo wanaosema hawana marafiki jee hao wamepungukiwa na kitu?
 
Lizy hujanijibu ww unachakachulika baada ya muda gaaaniiiii..??? Makosa mfanye wenyew mje kulialia hapa..
 
Lizy hujanijibu ww unachakachulika baada ya muda gaaaniiiii..??? Makosa mfanye wenyew mje kulialia hapa..
We kichwa maji kweli...urafiki na kuchakachuana wapi na wapi!?
 
....wana roho mbaya sana!!Wanamfanya mtu aamini ni marafiki wa kweli....wanaaminiwa na kuTREATwa kwa heshima na mapenzi kama marafiki alafu wanageuka na kumfanyia mwenzao kitu ambacho rafiki hawezi kufanya hata siku moja.Hata adui tu ataona aibu kidogo. Binafsi nimekua na bahati (mbaya) sana ya kukutana na watu wa aina hii....nadhani ntaanza kuhitaji watu waniombe urafiki kama. wanavyoomba uchumba na nichukue zaidi ya mwaka kuwachunguza na kujua ni watu wa aina gani kabla ya kuwapa sifa na cheo cha urafiki kwenye maisha yangu!!Kama na wewe uko hivi badilika maana sidhani kama mnapata faida yotote.
Two in one. Pole sana dear ila usifunge mlango wa marafiki pamoja na yote hayo bado tunawahitaji ktk maisha.
 
Back
Top Bottom