OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Acha umbumbumbu mleta mada,hili jambo ni la msingi sana acha ushabiki maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hao wawekezaji watatu wanaotaka kutoa bilion50 wawili ni bi hindu na padre kilomon
Tunaishukulu selikal ya awamu ya tano kwa kuzalisha mabilonea wengi
[emoji23][emoji23]Hivi bilioni 50 unafikili ni mavuzi kila binadamu anaweza kuwa nazo? Punguani wa head
Inawezekana VP mtu mmoja akawa na timu mbili ligi kuu?Sahihi kabisa! Hata Mzee SSB alipojitokeza na dau lake wkt wa mchakato hata kumskiliza hawakutaka!
Waambieee waweke huo mzigo kwenye akaunti ndio tuongee!Haya sasa baada ya Mo kubebebwa mwaka Jana kwenye utaratibu wa kutafuta mwekezaji kwa kuwahonga viongozi wakiokuwa wakiendesha hilo zoezi
Mambo yanazidi kuibuka
Kutoka jikoni ni kwamba kuna wawekezaji waliweka billion 50 mezani ila huyu tuliyenaye akafanya fitina akaichukua timu kwa billion 20 tu tena pesa yenyewe hajatoa hata senti tano
Habari kutoka kwa wajumbe wa simba wasioridhishwa na uhuni wa muwekezaji wanasema mpaka sasa kuna wawekezaji zaidi ya watatu wapo tayari kutoa billion 50 tena bila mashariti kama Yale anayoshinikiza ndugu Mo
Wenyewe wanasema wanahitaji nembo ya timu tu kuendesha club wala hawahitaji Mali zote za Simba
Wanachama wengi tulitilia mashaka uwekezaji wa Mo kwani amekuwa akiendesha club kwa siri kama mke wake
Baada ya nkwabi kumshutikia hatua za mwisho kuwa mo hana lengo zuri sasa anapanga kutumia mamilon ya pesa kuwahonga wapiga kura ili nkwambi aonekane anaikwamisha timu ili amrudishie rafiki yake try again madarakani
Mo amebaki na fisadi magori tu anayemuunga mkono pamoja na wajumbe wawili upande wa club
Jays ndugu zangu Simba tuendelee na huyu mwekezaji kanjanja au tuchague wawekezaji wapya ambao wataweka billion 50 mezani
We jamaa mbuzi kabisa watoe billion 50 wampe nani ?Haya sasa baada ya Mo kubebebwa mwaka Jana kwenye utaratibu wa kutafuta mwekezaji kwa kuwahonga viongozi wakiokuwa wakiendesha hilo zoezi
Mambo yanazidi kuibuka
Kutoka jikoni ni kwamba kuna wawekezaji waliweka billion 50 mezani ila huyu tuliyenaye akafanya fitina akaichukua timu kwa billion 20 tu tena pesa yenyewe hajatoa hata senti tano
Habari kutoka kwa wajumbe wa simba wasioridhishwa na uhuni wa muwekezaji wanasema mpaka sasa kuna wawekezaji zaidi ya watatu wapo tayari kutoa billion 50 tena bila mashariti kama Yale anayoshinikiza ndugu Mo
Wenyewe wanasema wanahitaji nembo ya timu tu kuendesha club wala hawahitaji Mali zote za Simba
Wanachama wengi tulitilia mashaka uwekezaji wa Mo kwani amekuwa akiendesha club kwa siri kama mke wake
Baada ya nkwabi kumshutikia hatua za mwisho kuwa mo hana lengo zuri sasa anapanga kutumia mamilon ya pesa kuwahonga wapiga kura ili nkwambi aonekane anaikwamisha timu ili amrudishie rafiki yake try again madarakani
Mo amebaki na fisadi magori tu anayemuunga mkono pamoja na wajumbe wawili upande wa club
Jays ndugu zangu Simba tuendelee na huyu mwekezaji kanjanja au tuchague wawekezaji wapya ambao wataweka billion 50 mezani
FIFA hawaruhusu lkn usisahau TAMISEMI wanamiliki KMC na Mbeya City! Na pia Jeshi linamiliki Ruvu JKT na Ruvu Shooting! Na TPL ya mwaka huu - Mambo ya Ndani watakuwa na timu 2.... Prisons na Police...Inawezekana VP mtu mmoja akawa na timu mbili ligi kuu?
HahahahahahHivi bilioni 50 unafikili ni mavuzi kila binadamu anaweza kuwa nazo? Punguani wa head