Kuna wengine hatujui tulipokosea

Mkuu unijulishe robo ya gharama za harusi niachie ila pombe zisipungue 😁
Kikubwa ataje yeye mwenyewe mahali Kaka ,maana Mimi Sina harusi kubwa ni pale kwa mkuu wa wilaya tunamaliza kila kitu hakuna habari ya sijui ya brother sheikh Wala mchungaji ni mwendo wa kutia sahihi tu .

Baada ya hapo ni gharama ndogo tu pale mapacha ya kunywa na kula Mimi na nyinyi Wana alafu usiku nikacheze sebene na Dadakidoti Ila nadhani ukiniwezesha hata laki mbili itakuwa pia Sana
 
Dadakidoti ukiniangusha huu ulabu nitakuona wa ovyo mno.
 
asante kipenzi niko imara sana. kipindi cha nyuma kitu kidogo tu natoa machozi kama nimefiwa ila sasa nipo tofauti kabisa sitoi machozi yangu ovyo tena. nikikutana na changamoto natulia kwanza ndio naitafutia ufumbuzi sio wa kulia lia tena.
Pastor kaishia wapi??
Mlokole wa watu
 
Tunakupenda pia my dear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…