Bado hujakata tamaa? 😹😹
Hapana kabisa hiyo kazi siiwezi baba mchungaMama mchunga , inabidi tufanye jambo kuwaunganisha😁😁😁😁
Umeshawahi kuuliza kwa ndugu na jamaa kwann hana mapenzi nanyi au hata yeye mwenyeweinauma sana ila ndio maisha fikria mtu una hamu kumuona unafikria ukimwona utakapomwona utamkumbatia kwa furaha lakini inakuwa tofauti. ila sasa hivi nishajionea sawa. namshukuru Mungu alinipa nafasi ya kumwona mama yangu kwa sura na bado naweza kumuona tofauti na wale wanaopoteza wazazi wao wakiwa wadogo. mama zao wanaishia kuona picha au kuadithiwa alikuwa hivi alikuwa vile. lakini mimi Mungu amanipa upendeleo wa kumuona japo hana mapenzi na mimi namshukuru sana Mungu kwa hilo tu.
Sawasawa bosssio pastor naomba nieleweke. nimesema mtumishi wa Mungu. kuna aina nyingi ya watumishi. labda ni mwimbaji, au mwinjilist au shemasi au vinginevyo. Achana nae huyo. sio kwamba nimeandika kila kitu mpenzi. nimeelezea tu kwa ufupi.
Pole Sanakipenzi sioni cha kunipeleka kanda ya ziwa tena. mwaka juzi mwezi wa kumi nilimzika babu yangu mzaa mama, mwaka jana nimemzika mwezi wa tatu nikamzika babu mzaa mama na mwaka jana pia mwezi wa nne nikamzika tena bibi mzaa mama. kwahiyo hao waliokuwa kama wazazi kwangu wameondoka tena kwa kufuatana ulikuwa mwaka mgumu sana kwangu.
Kweli ,hata Mimi baada ya kuwazika wazazi wangu wote Sina mzuka na kijijiji,na likitokea Jambo sitaki kukaa muda huko,naenda chap na kurudi.Pole Sana
Najua inauma kiasi gani
Nimeshindwa kwenda kijijini baada ya kumzika babu yangu mpendwa (alikuwa kama baba mzazi) na mama yangu mzazi. Sina appetite tena na huko 🥲
ujue kuwa single kuna raha yake eti eti huna stressHuyo mlokole inabidi muoane lkn kabla hamja oana rudisha mahali Kwa dav.
Hapo mtaishi Kwa amani.
ndugu mpaka marehemu bibi (mama yake) walijitahidi kumweleza na kumwambia kuwa badae sisi ndio msaada kwake lkn wapi. na ana upendo sana kwa watoto wa ndugu zake. kipindi bibi yupo tukienda labda tukakutana na watoto wa mama zetu wadogo au wajomba zetu. utasikia wanamtaja utasikia auntie fulan tena wanamtaja kwa mazuri. aliwasomesha watoto watatu wa kaka yake mmoja na wote wana maisha mazuri lakini wamemdampo hawana msaada wowote kwake. wamewajengea wazazi wao mjengo wa maana yeye kaachwa kwenye mataa. lakini anavuna alichopandaUmeshawahi kuuliza kwa ndugu na jamaa kwann hana mapenzi nanyi au hata yeye mwenyewe
Au kuna jambo kubwa mshua alilifanya dhidi yake kupelekea yeye mama kujenga chuki kwenu??
asante pia. bila shaka umejifunza kituAsante Dadakidoti, imekuwa bahati kusoma story yako
Sikuwah kuwaza hili katika maisha yangu. Ni kama meza imepinduka.Kuna siku zitafika unatamani kwenda Ila hawapo,inauma kichizi
huo ni mtazamo wako. Dav alioa tena ndoa ya kanisani. lakini haikudumu hata miaka miwili walipelekana mpaka mahakamani ndio walipopeana talaka. aliyekuwa mke wa Dav alinitafuta kabla ya kudai talaka nadhani alipewa stori kuhusu mimi na Dav na kesi zake zilikuwa kama zile ambazo nilishindwa mimi kuzivumiia. na aliyekuwa mke wake mpaka leo mpaka kesho tunawasiliana. namchukulia kama rafiki tu wakawaida. na yeye amepitia mengi labda kupita yangu. Dav harekebishiki.Hapa duniani huji kutana na binadamu asiye na mapungufu, japo mapungufu yanatofautiana!! Simu imesajiliwa kwa jina la mtu, ww unahangaika na simu ya mtu mwingine ili iweje? au mtu ahangaike na simu yako ili iweje?
Unamvizia mwanaume ili iweje? au yeye akuvizie ili iweje?
Wanaofanya mahusiano ya aina hiyo ni wale ambao bado wana utoto utoto, mtu mzima anaejielewa hawezi kuwa na mahusiano ya aina hiyo!!
Muda wa Dav kuoa ulikuwa haujafika ndo maana mama yake ndo alikuwa anafosi aoe, na ndo maana Dav alikuwa anaendelea na wanawake wengine kwakuwa muda wake kuoa ulikuwa bado.
Muda wa yeye kuoa kama umefika lazima atakuwa sasa ametulia na hana mambo mengi!!
Zawadi pekee ya mtoto wako kama wewe unaona kabisa sina utajiri mkubwa kama wengine wakubwa basi ni kumpa malezi Bora ya baba na mama.ujue kuwa single kuna raha yake eti eti huna stress