Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kweli pesa ndo kila kituMaisha Haya, ila sisi wazazi buana hasa mama Mungu anatuona.
Hadi unamuambia mtoto akuite shangazi 😅😅😅utaficha hadi lini? Sema mengine yanatokea ili tujifunze.Kweli pesa ndo kila kitu
Ni ya kutunga mkuu wala usijali sana! Unaona kuna mahali anasema alikuwa akiishi kwa babu mzaa baba lakini humo humo anasema tena mamake mkubwa alikuwa akija lazima aje kwa babu mzaa mama kunisalimia! Sasa huyu alikuwa akiishi wapi?Ya kweli ya kutunga!Kama ya kweli tiririka mfululizo.
Bila shaka ni kilabu cha gongo maana ngongo kupukutisha nywere ni sekunde tu plus kuvimbisha mashavu na tumboSimu niliweka mfukoni kipenzi ,Niko hapa klabuni si unajua Mimi ndiye think tank wa Kijiji niko nawapa habari motomoto kuhusu Fam na Lissu leo .
Nimevikalisha vizee vyenye meno mawili na nywele za kuhesabika navipanga hapa
Katika kitu siwezi kukana ni damu yangu tena niloitoa tumboni mwanguHapo pa kumuita mama shangazi..! umenikumbusha mama yangu alinambia nimuite mama mdogo by then alikuwa ameolewa kwngne ambako sio kwetu, huwa nikikumbuka wakati huu napatwa na PTSD...
😂😂Tunasubiri utolewe bikra
wewe ndp hujaelewa. mama mkubwa alikuwa dada yake mama. akija kumsalimia mama yake lazima pia aje kwetu. baba na mama wanatokea sehemu moja tofauti ni vijiji tu mpendwa.Ni ya kutunga mkuu wala usijali sana! Unaona kuna mahali anasema alikuwa akiishi kwa babu mzaa baba lakini humo humo anasema tena mamake mkubwa alikuwa akija lazima aje kwa babu maza mama kunisalimia! Sasa huyu alikuwa akiishi wapi?
nakuja muda si mrefuMBN KMY JUMLA DADA KIDOTI?
karibu kwa swali nipo hapaDadakidoti nina swali moja kwako la umuhimu sana
haha sina ilitolewa na baiskeliTunasubiri utolewe bikra
asanteIla maisha haya. Pole sanaa dadaa