Mzimu wa Kolelo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 2,790
- 8,330
Jaman kidoti wewnakuja muda si mrefu
ushaanza kuringaekichwa kinaniuma tutaendelea kesho nisameheeni.
Pole sana. Pumzika.kichwa kinaniuma tutaendelea kesho nisameheeni.
Sawa,jaman mtumia hata jero ya dawa,weka nambakichwa kinaniuma tutaendelea kesho nisameheeni.
Jina lako umeficha, hata kabila lako unaficha ili iweje. Ya onekana hata story yako nzima ni fix tupu. Samahani lakini, next time ficha vitu vile vinavyoweza kukutambulisha kirahisi tu. Ukificha kila kitu watu tu naona tuna-deal na robot.hapana sio msukuma ila natokea kanda ya ziwa
sijaja kuomba msaada ni stori tu ya maisha yangu. na yameshapita si kwamba ndo yanatokea sasa hivi. ukiamua soma ukiamu pita hivi. kwanza hunipi bando. fanya yako kijana.Jina lako umeficha, hata kabila lako unaficha ili iweje. Ya onekana hata story yako nzima ni fix tupu. Samahani lakini, next time ficha vitu vile vinavyoweza kukutambulisha kirahisi tu. Ukificha kila kitu watu tu naona tuna-deal na robot.
ndioNinyi ni wajaluo bila shaka maisha yenu na harakati zenu mnazijuaga wenyewe tu yaani
asantePole sana. Pumzika.
Mwenyezi Mungu akujaalie afya njema.
kama kweli umenijua taja jina langu halisi au la baba yangu mkubwaDadakidoti nishakujua tayari na huyo babaako mkubwa mfuga kuku wajati mnaishi MOROGOLO namjua