Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Mkristo hana Historian aliyo iandika, katika watu wenye kutunza kumbukumbu hakuna wa kuwazidi Waarabu, iwe wa nasaba au wa makazi.

Mkristo kaandika Historia gani na Hana chain inayo enda kwenye "Primary Source" ? Itakuwa hujui maana ya Historia, Kuna Historia na Kuna Historia za kutunga. Labda Historia ya Tanganyika.

Mtafute Mkristo yoyote au Myahudi yoyote mwenye kuweza tu kukutajia mababu zake Saba kwa kufuatana, halafu unakuja kutuambia wameandika Historia. Wametoa wapi.

Usilete habari za kitoto za wale walio andika kuhusu Historian ya muda na hawana Chain.

Wakristo wanaiongoza Dunia kwenye nini ? Labda kwa mambo ya kipumbavu na uhayawani.
 
Sasa MTU anayesema Urusi inautetea Uislam huyo unamuona anaijua Historia kweli?
Huyu ulitakiwa umuulize kwanini anasema hivi. Hili ndiyo ambalo Wakristo mmekosa, na hii imewapelekea mshindwe kuhakiki maandiko yenu. Leo nikikuuliza ni nani aliyeandika Injili ya Marko kwa akili zako za kitoto utasema ni Marko, nikikuomba ushahidi hakika hutakuwa nao, ila watafiti wanasema muandishi wa Injili ya Marko hajulikani. Swali vipi mnayafanyia kazi maandiko ya mtu asiye julikana (Majhuli) katika Elimu ya uhakiki wa habari, habari za mtu asiye julikana ni katika habari dhaifu na hazifanyiwi kazi mpaka zipatikane habari za mkweli mwenye kujulikana awe amesimulia kama hivyo. Hili hamna Wakristo.
 
Taratibu.
Muddy angekuwepo leo jamhuri ingemshtaki kwa kosa la kubaka, kweli nakuambia, kama una bisha mfuate kwa hili, jera itakuhusu. Watoto tuwaache wasome
Acha kukurupuka kwani yeye kaoa kwenye jamuhuri
Emutuleteee sheria za karne ya 7 hapa zinazo husu ndoa

Wakristo wengi ni mapunguani maana hata uwezo wa kufikiri hamuna

Aya lete sheria za ndoa za karne ya 7

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Taratibu.
Muddy angekuwepo leo jamhuri ingemshtaki kwa kosa la kubaka, kweli nakuambia, kama una bisha mfuate kwa hili, jera itakuhusu. Watoto tuwaache wasome
Una Kamusi ya Kiswahili hapo, utusomee maana ya Kubaka ? Huenda kuna maana mpya ya kubaka, ambayo sisi Waswahili hatuijui.
 
Mkuu wavaa kobaaz yani hii dini yao isisngekuwepo duniani amini kwamba dunia ingekuwa ni sehemu salama sana kuishi. Matatizo yote ya duniani wameshababisha hawa wavaa kobaaz
Ohoo mngefira.na sana nyie mshukuru angalau uislam unapinga hadharani matendo ya ufiraji laasivyo mzee ungekua umeolewa muda huu kwa amri ya papa utake usitake.
 
Nakushauri, usimfuate mtume wako kwa hili, Hakutumwa na Mungu, vinginevyo jera itakuhusu. Watoto tuwaache wasome.
 

Ukishaleta ushabiki unakwama.

Waarabu na waafrika hawapishani ni kama ngedere na nyani tuu.

Unaposema Wayahudi elewa unazungumzia Watu waliowatawala mpaka Waarabu kihistoria ndio maana Huko misikitini mnawataja kila Siku Wayahudi kama kina Musa, Yusufu, Daudi, ISSA, Yunus, n.k.

Embu tupe Historia ya South Afrika au Brazil au Australia kama ilivyoandikwa na Waarabu ili ujione ulivyokichwa Maji.
 

Wewe ukiambiwa utupe ushahidi muandishi wa Quran ni Nani utatoa ushahidi?
Maana mtume mpaka anakufa hapakuwa na kitabu kinaitwa Quran, na Mudy alikuwa mjinga(asiyejua kusoma wala kuandika)
 
Una Kamusi ya Kiswahili hapo, utusomee maana ya Kubaka ? Huenda kuna maana mpya ya kubaka, ambayo sisi Waswahili hatuijui.
Kama imekuwa ngumu kunielewa, nafuta neno kubaka hapo, ila nasisitiza, msimfuate Muddy kuoa vibinti vya miaka 9, watoto hawa tuwaache wasome.
 
Nakushauri, usimfuate mtume wako kwa hili, Hakutumwa na Mungu, vinginevyo jera itakuhusu. Watoto tuwaache wasome.
Kamshauri mama yako narudia tena
Lete sheria ya karne ya 7 hapa inayo husu ndoa

Hakikisheni nyie kuku wa humu mnapo anzisha mada mnakua na elimu nayo

Ukishindwa kuleta sheria za ndoa za karne ya 7

Basi wakristo ndio sehemu pekeyake ya kutolea mfano wa wapumbavu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Umeropoka tena wayahudi kupitia Mwanaume Yuda ndio alie wafanya nyie kuupata ukristo huo ambao hamuna ushahidi nao kama ni Dini au nini

Mshukuruni sana mr Yuda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tunaishi kwa sheria za leo sio hizo unazozitaka wewe. Ndio mana nakuambia ukimuiga Muddy kuoa kabinti miaka 9, jera inakuhusu. Watoto tuwaache wasome
 
Wewe ukiambiwa utupe ushahidi muandishi wa Quran ni Nani utatoa ushahidi?
Maana mtume mpaka anakufa hapakuwa na kitabu kinaitwa Quran, na Mudy alikuwa mjinga(asiyejua kusoma wala kuandika)
Acha upopoma nani alie kwambia kua Mohamed kazi yake ilikuwa ni kuandika quran

Maswahaba wa mtume ndio waandishi wa quran

Na wapo wanajulikana
Akiwemo othman

Sio bibilia ile isiyo na muelekeo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kijana mimi kusoma na kupenda kusoma nimeshafunga nako ndoa. Kama unataka tujadili kielimu tuanze Sasa.

Kwa uliyo yaandika unasema unajua Historia. Twende taratibu weka Historian iliyo hakikiwa na yenye kuthubitisha ya kuwa Musa, Yusufu, Daudi, Isa walikuwa Mayahudi. Nasema weka Historian iliyo hakikiwa na yenye Chain. Nipo hapa.

Kadhalika utuonyeshe wapi Mayahudi waliwatawala Waarabu.

Kwenye hii aya yako ya mwisho sijakuelewa una maanisha nini.
 
Stupid religion 🤮🤮🤮
 
Mkuu wavaa kobaaz yani hii dini yao isisngekuwepo duniani amini kwamba dunia ingekuwa ni sehemu salama sana kuishi. Matatizo yote ya duniani wameshababisha hawa wavaa kobaaz
"Wavaa kubazi" wamesababisha vita kubwa mbili za dunia, vita baridi kwa zaidi ya miaka 40 kisha, wameua mamilioni enzi za Stalin. Bado mamilioni waliouawa na "wavaa kubazi" akina Pol Pot, Stalin, Mao Ze Dong na wenzao.

"Wavaa kubazi" wamesababisha mauaji ya kimbari Rwanda mpaka maelfu wengi waliuawa "msikitini" na "msikiti" ukageuzwa makumbusho una mafuvu mpaka leo. Wamekichafua Liberia, Sierra Leone, Congo na Angola.

Hawa "wavaa kubazi" waliangusha mabomu mawili ya Atomiki Hiroshima na Nagasaki mwaka 1945, wakazua taharuki tofauti tofauti dhidi ya usalama wa dunia nyakati tofauti wakati wa vita baridi kama mgogoro wa Berlin kati ya "wavaa kubazi" Wasovieti na "wavaa kubazi" wa kimagharibi mwaka 1948-1949, mgogoro mwengine wa Berlin mwaka 1961, sakata la Cuba mwaka 1962, taharuki zilizosababishwa na Dola za "wavaa kubazi" China na Usovieti walipopigana mwaka 1969 na migogoro ya baadae ambayo kidogo "wavaa kubazi" waitumbukize dunia katika vita kuu nyengine kama walivyofanya awali. Tusisahau walivyosababisha vita vya Korea mwaka 1950-1953 na vita ya Vietnam. Yote hii ni migogoro mikubwa mikubwa iliyotishia amani ya dunia na "wavaa kubazi" wakubwa.

Na sasa kuna "wavaa kubazi" wa Urusi wanatishia vita kuu ya tatu. Tunawahofia na wale wa China katika mgogoro wake na Taiwan na zile Korea mbili maana hatuwaelewi elewi.

Oh pia nimesahau jinsi "wavaa kubazi" walivyoharibu usalama baadhi ya nchi za Latin America na nchi ya Mexico kwa biashara na magenge yao ya dawa za kulevya.
 
Tunashukuru hata yesu pia ni mvaaa kobaz

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…