niquetamere
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 532
- 1,008
Nyinyi makitu ni majinga sana. Hamna uwezo wa kufikiria. Ndo maana mmarekani anawashughulikia nyinyi wapumbavu
Kampatie babako na wapumbavu wenzako mnaoamini jua linazama matopeniPata hii
Lete ushahidi hapa acha porojo.Kinachoniuma zaidi DINI Yao imeasisiwa na Roman Catholic.
JESUIT+VATCAN + SHETANI NA MAJINI+ MOHAMED.
Tukiwaambia hawaelewi
Quran Imeandikwa VATCAN
Unasemaje! Kwamba masikini wa kipato?Wahubiriwe habari njema za ukombozi kupitia Yesu kristo,mimi naamini usilamu hasa huku afrika unaharibiwa na viongozi wao wasio na elimu wala exposure,na wengi wanafanya upotoshaji huo ili waungwe mkono na jamii yao ambayo wanajua niya watu wajinga,masikini wa kipato na elimu ambao ni wepesi kurubunika.
Hahahaha waislam huwezi waokota kihivyo.Hhhhhhhhhhh pole sanaa untka mburuzwe mara ngapi?
Wakati mnatajirisha mapadri na nyie mkibaki hohehahe
Yni ukristo we ukiamua kusema lko we sema tuu na utakubalika
Tizama hawa wajinga wanavoaminishwa ujinga na kuburuzwa prrrrrrrrrrrrr
View attachment 2519239
Mzee mbona unarusha mada?Uislam haujawahi kuwepo toka dunia inaumbwa.
Uislam umekuwepo toka karne ya 7 wakati wa Mohamad na ulianzishwa na Mohamad.
Nikikuambia Uthibitishe kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad HUTAWEZA.
Najua ndivyo mnavyo karirishwa msikitini kwenu, lakini kwa hili hebu tumia tu akili yako.
Ni dini lakini yamchongo.Nakunukuu:
"Mbona sisi hatuna habari na DINI yenu ya mchongo"
Kumbe ukristo ni dini!!! Si huwa mnasema ukristo sio dini?? Sasa Tushike lipi? Ni dini au sio dini?
Ni dini ila yamchongo.Jifunze kujibu swali lililoulizwa.
Mwenzako amesema ukristo ni dini... Nimeuliza, TUSHIKE LIPI?
Ni Dini au sio Dini?
Siyo dini kwakuwa imepoteza sifa na kuwa yamchongo.Unapokwepa swali mimi ndio nazidi kukukomalia. Kama unajiamini JIBU SWALI.
Nakuuliza tena. Kwa mujibu wa mwenzako aliyesema Ukristo ni Dini ya mchongo, Tushike Lipi? UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
Roho Mtakatifu wako mbona yuko hivyo leoLabda roho mtakatifu anayekubandua
Kampatie babako na wapumbavu wenzako mnaoamini jua linazama matopeni
Mtume rijali ndo mana ana wake wengi na kuoa wake wengi zilikuwa tamaduni za watu wa zamani hata hapa kwetu sio wazee wa kiislam wala wakristo wengi wazee wa zamani walikuwa na wake wengi, tatizo ulilonalo unaona wivu vile mtume kuwa na wake wengi.Mtume alipoa wake 14 na kuwapanga ni wayhi,mkanywea shwaaaaaaa.
Mmarekani si ndo mnaomuabudu,, mpaka anawaambia mfilweh makanisani na nyie mnakubali mijinga kabisaNyinyi makitu ni majinga sana. Hamna uwezo wa kufikiria. Ndo maana mmarekani anawashughulikia nyinyi wapumbavu
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.
Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.
Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.
Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.
Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
mpe ukweli huyo kichwa maji, nimesema heri ya ukristo kuliko uislam, kwenye ukristo ukiona kuna mafundisho ya ajabuajabu unahama dhehebu fasta bila woga kitu ambacho hakipo kwa uislam. Mila, desturi na tamaduni za kipagani zimeshikizwa na uislam. Kwa hiyo waislam wanaona hiyo dini ndio kila kitu katika maisha yao na hakibadiliki nyakati zote. Kwenye ukristo kila nyakati Mungu aliinua mitume tangu agano la kale na agano jipya na baada ya agono jipya. Ndio maana kwenye ukristo kuna matengenezo pale panapoingizwa hila na upotoshaji wa ukweliHajui anaongelea nini watu wanauziwa mafuta ya Upako wanakanyagana mpaka wanakufa wengine wanauziwa udongo wengine ndio hao kila kukicha wake za watu wanashinda kwa Wachungaji ni kwamba Dini zote zina watu wa hovyo hovyo sana...hakuna sehemu utasema ni afadhali kinachotakiwa ni wewe kuwa na akili ya utambuzi sio ya kushikiwa..
Wazee wa Uamsho,Shekhe Ponda,Shekhe mstaafu wa mkoa wa Dar,na wengine wamewahi kuwashika masikio vijana wa Kiislamu.Watu wanataka evidence sio maneno ya kwenye kanga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Na uzushi wenu wazee wa uamsho mpaka baadhi wanatoka hakuna yeyote aliethibitisha mahakamani kama wana makosaWazee wa Uamsho,Shekhe Ponda,Shekhe mstaafu wa mkoa wa Dar,na wengine wamewahi kuwashika masikio vijana wa Kiislamu.