Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Wahubiriwe habari njema za ukombozi kupitia Yesu kristo,mimi naamini usilamu hasa huku afrika unaharibiwa na viongozi wao wasio na elimu wala exposure,na wengi wanafanya upotoshaji huo ili waungwe mkono na jamii yao ambayo wanajua niya watu wajinga,masikini wa kipato na elimu ambao ni wepesi kurubunika.
Unasemaje! Kwamba masikini wa kipato?
Unajitekenya jombaaa.
 
Hhhhhhhhhhh pole sanaa untka mburuzwe mara ngapi?

Wakati mnatajirisha mapadri na nyie mkibaki hohehahe

Yni ukristo we ukiamua kusema lko we sema tuu na utakubalika

Tizama hawa wajinga wanavoaminishwa ujinga na kuburuzwa prrrrrrrrrrrrr
View attachment 2519239
Hahahaha waislam huwezi waokota kihivyo.
 
Uislam haujawahi kuwepo toka dunia inaumbwa.
Uislam umekuwepo toka karne ya 7 wakati wa Mohamad na ulianzishwa na Mohamad.

Nikikuambia Uthibitishe kuwa uislam ulikuwepo kabla ya Mohamad HUTAWEZA.

Najua ndivyo mnavyo karirishwa msikitini kwenu, lakini kwa hili hebu tumia tu akili yako.
Mzee mbona unarusha mada?
Kati ya ninyi wagalatia na waislam ni wepi wanapelekwa kama manyumbu?
 
Nakunukuu:
"Mbona sisi hatuna habari na DINI yenu ya mchongo"

Kumbe ukristo ni dini!!! Si huwa mnasema ukristo sio dini?? Sasa Tushike lipi? Ni dini au sio dini?
Ni dini lakini yamchongo.
Yaani ni sawa na kusema hivi unapesa lakini bandia.
 
Unapokwepa swali mimi ndio nazidi kukukomalia. Kama unajiamini JIBU SWALI.

Nakuuliza tena. Kwa mujibu wa mwenzako aliyesema Ukristo ni Dini ya mchongo, Tushike Lipi? UKRISTO NI DINI AU SIO DINI?
Siyo dini kwakuwa imepoteza sifa na kuwa yamchongo.
 
Mtume alipoa wake 14 na kuwapanga ni wayhi,mkanywea shwaaaaaaa.
Mtume rijali ndo mana ana wake wengi na kuoa wake wengi zilikuwa tamaduni za watu wa zamani hata hapa kwetu sio wazee wa kiislam wala wakristo wengi wazee wa zamani walikuwa na wake wengi, tatizo ulilonalo unaona wivu vile mtume kuwa na wake wengi.

Hata huyo ibrahim baba wa imani alikuwa na mke zaidi ya mmoja, umekaza fuvu mtume ana wake wengi.
 
Unapoongelea dini uwe makini naujue sio unaongelea vikundi vikundi vimejikusanya kwa ajili ya kpewa mkopo
 
Unauliza kivipi dini za wakoloni ni utumwa wa akili kwa Waafrika na Zina athari gani kwetu dini si dini tu kila mtu na Imani yake? Ngoja nikujibu

1. Dini za kikoloni zinatushawishi kua sisi waafrika ni wafataji tu hatukua na mchango wowote na hatuna mchango wowote.Ukisoma Uislamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa Uislamu Ni kuhusu waarabu na mambo yote yanawahusu wåårabu tu
(A) ukitaka kuzungumza na mungu kwenye swala/ maombi Ni lazima ujue lugha ya watu wengine ni lazima uzungumze nae kwa lugha ya wåårabu Ina maana mungu anaelewa lugha moja tu ya kiarabu kwanini nisizungume lugha yangu tu?
(B) waislamu wanaambiwa peponi wote watazungumza kiarabu fasaha ndio Kama lugha rasmi ya peponi na ya kuwajumuisha watu wote kule
(C) mitume yote ya kiarabu na makabila ya huko kwao hakuna mtume alietumwa hata kwa bahati mbaya huku kwetu hata mmoja
(D) sehemu takatifu zote ziko uarabuni na nchi zenye waarabu Makka,Madina na Palestine na ili usamehewe dhambi zako zote Ni lazima uende Makka Kama una uwezo Ni ndoto ya kila muafrika muislamu kwenda hapo
(E) mavazi mataktifu ya Uislamu Ni mavazi ya wåårabu(kanzu,hijabu) waarabu wameanza kuvaa kanzu kabla ya Uislamu kanzu sio vazi la Uislamu
🔑 NIAMBIE wewe sasa waislamu watawaonaje waarabu kama kila kitu wanachotamani kwenye maisha Yao Ni cha wåårabu mtu unazungumza lugha yao, una ndoto ya Kwenda kwenye pepo yao, sehemu takatifu yako Ni ya kwao, mavazi yako mataktifu Ni ya kwao, si utawaona Kama wao wamebarikiwa kushinda wewe na wao Ni kizazi pendwa cha Mungu hii inamadhara makubwa sana kwenye saikolojia ya mwanadamu ndio Mana leo ukiwasema waarabu waislamu wanakuja juu hawataki watu waliochaguliwa na Mungu wasemwe vibaya wako radhi kupigana kwa akili Yao watakutukana kwenye comment kisa umewasema waarabu na huu ndio utumwa wa akili tunaouzungumzia kuna watu mapaka wanatamani wafute historia ya wakoloni wao ili tu waonekane wameletewa dini kistaarabu Ila Hakuna dini iliyokuja kistaabu dini zote zimekuja kwa utumwa na maovu jinsi mnavyozidi kua wåårabu ndivyo jinsi mnapoteza uafrika wenu Ile roho ya kiafrika mnapoteza mnajichukia wenyewe

2. Dini zinatufundisha tukitaka kukubalika kwa Mungu kwanza tujikatae sisi wenyewe Yani uache desturi zako zote na uanze kufata desturi za watu wengine ili Mungu akupokee unadhani ni huyo Mungu Ni wa kwako kweli ?

3. Dini zilitumika kututenganisha waafrika na mpaka leo Ni tabu Sana nchi za kiafrika dini zimekua tatizo na udini hautoisha Kama hatutoondoa dini zao

4. Ukienda kwa wakristo pia hivyo hivyo kila kitu Chao kinahusiana na wazungu wa Israel wanaamini wale wamebarikiwa na wao walilaaniwa kwakua Ni kizazi cha mtoto wa Noah alieuona utupu wa babaake hivi inataka kuniambia watu wasijichukie tu Kama ndio wanaaminishwa hivi? Ukiwasema wazungu Leo utawaona wakristo wanakujia juu Ila mbona hao wåzungu hawana mda na nyie hata mkiuliwa ? Mfano mzuri wazungu wanaandamana kwa ajili ya Vita ya Ukraine ila hawajawahi na hawatowahi kuandamana kwaajili ya maafa yanayotokea Afrika hata siku moja ni wewe tu unaumia kwa ajili ya mabwana wako

Rudi kwenye asili yako muafrika achana na dini zao walizotumia kututawala bado zinakutawala kifikra.

UKUU WA MWAAFRIKA NA IJUE AFRIKA

Africa wake up
 
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.

Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.

Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.

Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.

Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
 
Unauliza kivipi dini za wakoloni ni utumwa wa akili kwa Waafrika na Zina athari gani kwetu dini si dini tu kila mtu na Imani yake? Ngoja nikujibu

1. Dini za kikoloni zinatushawishi kua sisi waafrika ni wafataji tu hatukua na mchango wowote na hatuna mchango wowote.Ukisoma Uislamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa Uislamu Ni kuhusu waarabu na mambo yote yanawahusu wåårabu tu
(A) ukitaka kuzungumza na mungu kwenye swala/ maombi Ni lazima ujue lugha ya watu wengine ni lazima uzungumze nae kwa lugha ya wåårabu Ina maana mungu anaelewa lugha moja tu ya kiarabu kwanini nisizungume lugha yangu tu?
(B) waislamu wanaambiwa peponi wote watazungumza kiarabu fasaha ndio Kama lugha rasmi ya peponi na ya kuwajumuisha watu wote kule
(C) mitume yote ya kiarabu na makabila ya huko kwao hakuna mtume alietumwa hata kwa bahati mbaya huku kwetu hata mmoja
(D) sehemu takatifu zote ziko uarabuni na nchi zenye waarabu Makka,Madina na Palestine na ili usamehewe dhambi zako zote Ni lazima uende Makka Kama una uwezo Ni ndoto ya kila muafrika muislamu kwenda hapo
(E) mavazi mataktifu ya Uislamu Ni mavazi ya wåårabu(kanzu,hijabu) waarabu wameanza kuvaa kanzu kabla ya Uislamu kanzu sio vazi la Uislamu
🔑 NIAMBIE wewe sasa waislamu watawaonaje waarabu kama kila kitu wanachotamani kwenye maisha Yao Ni cha wåårabu mtu unazungumza lugha yao, una ndoto ya Kwenda kwenye pepo yao, sehemu takatifu yako Ni ya kwao, mavazi yako mataktifu Ni ya kwao, si utawaona Kama wao wamebarikiwa kushinda wewe na wao Ni kizazi pendwa cha Mungu hii inamadhara makubwa sana kwenye saikolojia ya mwanadamu ndio Mana leo ukiwasema waarabu waislamu wanakuja juu hawataki watu waliochaguliwa na Mungu wasemwe vibaya wako radhi kupigana kwa akili Yao watakutukana kwenye comment kisa umewasema waarabu na huu ndio utumwa wa akili tunaouzungumzia kuna watu mapaka wanatamani wafute historia ya wakoloni wao ili tu waonekane wameletewa dini kistaarabu Ila Hakuna dini iliyokuja kistaabu dini zote zimekuja kwa utumwa na maovu jinsi mnavyozidi kua wåårabu ndivyo jinsi mnapoteza uafrika wenu Ile roho ya kiafrika mnapoteza mnajichukia wenyewe

2. Dini zinatufundisha tukitaka kukubalika kwa Mungu kwanza tujikatae sisi wenyewe Yani uache desturi zako zote na uanze kufata desturi za watu wengine ili Mungu akupokee unadhani ni huyo Mungu Ni wa kwako kweli ?

3. Dini zilitumika kututenganisha waafrika na mpaka leo Ni tabu Sana nchi za kiafrika dini zimekua tatizo na udini hautoisha Kama hatutoondoa dini zao

4. Ukienda kwa wakristo pia hivyo hivyo kila kitu Chao kinahusiana na wazungu wa Israel wanaamini wale wamebarikiwa na wao walilaaniwa kwakua Ni kizazi cha mtoto wa Noah alieuona utupu wa babaake hivi inataka kuniambia watu wasijichukie tu Kama ndio wanaaminishwa hivi? Ukiwasema wazungu Leo utawaona wakristo wanakujia juu Ila mbona hao wåzungu hawana mda na nyie hata mkiuliwa ? Mfano mzuri wazungu wanaandamana kwa ajili ya Vita ya Ukraine ila hawajawahi na hawatowahi kuandamana kwaajili ya maafa yanayotokea Afrika hata siku moja ni wewe tu unaumia kwa ajili ya mabwana wako

Rudi kwenye asili yako muafrika achana na dini zao walizotumia kututawala bado zinakutawala kifikra.

UKUU WA MWAAFRIKA NA IJUE AFRIKA

Africa wake up
 
Hajui anaongelea nini watu wanauziwa mafuta ya Upako wanakanyagana mpaka wanakufa wengine wanauziwa udongo wengine ndio hao kila kukicha wake za watu wanashinda kwa Wachungaji ni kwamba Dini zote zina watu wa hovyo hovyo sana...hakuna sehemu utasema ni afadhali kinachotakiwa ni wewe kuwa na akili ya utambuzi sio ya kushikiwa..
mpe ukweli huyo kichwa maji, nimesema heri ya ukristo kuliko uislam, kwenye ukristo ukiona kuna mafundisho ya ajabuajabu unahama dhehebu fasta bila woga kitu ambacho hakipo kwa uislam. Mila, desturi na tamaduni za kipagani zimeshikizwa na uislam. Kwa hiyo waislam wanaona hiyo dini ndio kila kitu katika maisha yao na hakibadiliki nyakati zote. Kwenye ukristo kila nyakati Mungu aliinua mitume tangu agano la kale na agano jipya na baada ya agono jipya. Ndio maana kwenye ukristo kuna matengenezo pale panapoingizwa hila na upotoshaji wa ukweli
 
Wazee wa Uamsho,Shekhe Ponda,Shekhe mstaafu wa mkoa wa Dar,na wengine wamewahi kuwashika masikio vijana wa Kiislamu.
Na uzushi wenu wazee wa uamsho mpaka baadhi wanatoka hakuna yeyote aliethibitisha mahakamani kama wana makosa

Unajua ponda alikua anagombania nini?
Je mtu asidai haki yake kisa mtasema nyie vipi



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom