Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

MWAFRIKA anayejitambua si muislam wala mkristo yuko NEUTRAL katika imani yake ya KIAFRIKA.

Mpumbavu yeyote atauamini uislam na ukristo huku akijua kabisaa ukristo ni style ya maisha ya ukoo wa kristo na uislam ni style ya maisha ya ukoo wa islam.
 
Kwahiyo huyo Allah alishindwa kuyasema hayo yote kupitia Waafrika au lugha za Kiafrika hadi apitie kwawaarabu na lugha ya kiarabu?wewe ni nguruwe usiyejitambua
 
Aaah? Hii hoja yako mbona nyepesi sana? Tulia nikusambaratishe kwa kutumia historia na maandiko uliyoyatumia kujenga hoja yako naipangua kama naserereka mlima kilimanjaro. Huwezi kushinda kirahisi hivi. Subiri nisome nije nipangue hoja yako ubaki mtupu
 
Hapa nachomoka baba, dhana ulizotumia kujenga hoja yako, hizohizo nami nazitumia kupangua. Tutanyukana sana tu na utaukimbia uzi, ngoja nisome biblia na mkataba wa Moresby treaty uliopinga biashara ya utumwa duniani. Umekutana na mashine kubwa, usiwe mvivu kusoma ili ule za uso nikuelimishe kuhusu biashara utumwa
 
Kwahiyo na wewe ulikuwepo wakati uislam unaumbwa?miafrika mingine bora ikaolewe tu hiko uarabuni.

Vitu viko wazi uislam=ukoo wa islam ambao unapatikana uarabuni sasa nyie mbweha wa kiafrika mnaingiaje?
wanafuata mkumbo tu bila kutafiti ukweli wa mambo yalivyo
 
MWAFRIKA anayejitambua si muislam wala mkristo yuko NEUTRAL katika imani yake ya KIAFRIKA.

Mpumbavu yeyote atauamini uislam na ukristo huku akijua kabisaa ukristo ni style ya maisha ya ukoo wa kristo na uislam ni style ya maisha ya ukoo wa islam.
Wapo, ila wamejishikiza kwenye dini hizo kama geresha tu, hawa hawana mihemko mikali ya kidini. Ukikuta muislam jina tu huwa wako peace sana utawapenda
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ushakula chochoro
Soma nakusubiri

Usisahau nishakwambia kuna wenzio sasa wakiona comment zangu wanatetemeka

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Soma nakusubiri [emoji3][emoji3][emoji3] we soma mimi nalala usisahau uwo mkataba uwe kwenye bibilia kama nilivyo kuwekea

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo huyo Allah alishindwa kuyasema hayo yote kupitia Waafrika au lugha za Kiafrika hadi apitie kwawaarabu na lugha ya kiarabu?wewe ni nguruwe usiyejitambua
Angalia aliyeshushiwa hayo maneno kama mjumbe ...Hata leo kweny mkutano wa kimataifa lazima aende raisi au waziri mwenyedl dhamana na yeye ndo analeta ujumbe kwa wote anakuwa kama mwakilishi.

Inakuwaje kama mwakilishi ni jamii ya kiarabu lazima itumike njia hyo na Haina ubaya kwani inaweza kutafsiriwa kwenda lugha nyingine na ikaeleweka...haijalishi itakuwaje wala haujalazimishwa ndo maana na sisi hakuna kitu utatuforce dhidi ya upumbavu wako wa kulewa ,uzini na kula mangurue tukuelewe.
 
https://www.facebook.com/
 

 
Kwa waislamu Kuna nabii katokea afrika. je kuhusu ww unaetetea hko Kuna nabii wa kiafrka
 
Muislam silaha aliyo nayo ni ubishi ukimzidi ubishi anacharuka na kuwa mkali sana[emoji28][emoji28]ukifanikiwa kumtuliza hapo,unambatiza dkk tatu baadae.

Ndacha anawaweza hawa kenge,anazibuaga makofi mpaka wanakaa.
Hivi huyu ndacha ni dhehebu gani? Maana wasabato wanamkana

Anajua sana biblia na quran

Anaijua biblia sana na ukweli wake
 
Wazee wa Uamsho,Shekhe Ponda,Shekhe mstaafu wa mkoa wa Dar,na wengine wamewahi kuwashika masikio vijana wa Kiislamu.
SI Bora kushikwa masikio kuliko kushikwa matako na wazungu eti mapenzi ya jinsia Moja ndicho mnachohubiriwa sasa hivi ili wawabinue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…