Usikimbie swali kama mwenzako. Wewe si unajua lugha ya Kiswahili au Kiingereza?Nilijua Tu utatafuta pa kutokea,anyways nachukulia kwamba huna majibu.
Kuhusu Dini ni nini Kisai amekujibu
Wewe chenga kweli chief,kwahiyo kama mwenzangu kajibu nami nirudie majibu hayo hayo.Usikimbie swali kama mwenzako. Wewe si unajua lugha ya Kiswahili au Kiingereza?
Ukienda hata Google unapata dictionary kibao, so huna kisingizio.
Nauliza tena kwa mara nyingine. DINI NI NINI? WHAT IS RELIGION?
Dictionary ndio kitabu cha ngapi kwenye bibilia nikaktifute sasa hivi hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nione uthibitisho wa yesu kwenye dictionary leoUsikimbie swali kama mwenzako. Wewe si unajua lugha ya Kiswahili au Kiingereza?
Ukienda hata Google unapata dictionary kibao, so huna kisingizio.
Nauliza tena kwa mara nyingine. DINI NI NINI? WHAT IS RELIGION?
Hujajibu nilichokuuliza.Kijana Hilo kadhalika ulilopewa ni jibu tena ni jibu sahihi mno. Muwe mnasoma Wakristo, hata hujui maana za matamko hupatikana vipi, Kuna namna nne za kutoa maana ya kitu, na hiyo uliyo pewa ni maana kadhalika, kwa maana ya kuainishiwa dini Fulani.
Kwa mfano nilipo sema, au nikisema ukitaka kujua maana ya ujinga muangalie Mkristo, kwanini nimesema hivyo sababu ya namna yake ya kuyabeba mambo pasi na utafiti. Ndiyo maana ukaambiwa Dini mbele ya Allah ni Uislamu hii pia ni maana, kwa sababu mtu mwenye akili atauliza au atauangalia Uislamu ni nini.
Sasa hivi vitu vidogo sana, vinawashinda Wakristo.
Kijana acha kupotezea watu muda, kama huna hoja au cha kuandika, Kaa utulie. Au toa wewe maana ya dini, sababu hukosoia maana uliyopewa unarudia rudia swal ambalo umeshajibiwa.Usikimbie swali kama mwenzako. Wewe si unajua lugha ya Kiswahili au Kiingereza?
Ukienda hata Google unapata dictionary kibao, so huna kisingizio.
Nauliza tena kwa mara nyingine. DINI NI NINI? WHAT IS RELIGION?
Nijibu mara ngapi ?Hujajibu nilichokuuliza.
Narudia tena [emoji116]
Tafairi ya Neno DINI/RELIGION ni nini? Tukitumia kiingereza kwa mfano, RELIGION ni Nini? DINI ni nini?
Hilo ndilo swali langu, acheni kupiga chenga
Chief ukiona jamaa anarukaruka ujue ni dalili ya kuchemka,kama vipi tumpuuze Tu coz anatupotezea Mda tuKijana acha kupotezea watu muda, kama huna hoja au cha kuandika, Kaa utulie. Au toa wewe maana ya dini, sababu hukosoia maana uliyopewa unarudia rudia swal ambalo umeshajibiwa.
Inaonekana unaijua maana ya dini, tupatie hiyo maana kama huijui na unapinga inaonyesha ni namna gani ulivyo kuwa huna akili, unapinga kitu ambacho hukijui.
Aya tupe jibu la Yesu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa bibilia mpya ya ( dictionary toleo la ngapi hili),Hujajibu nilichokuuliza.
Narudia tena [emoji116]
Tafairi ya Neno DINI/RELIGION ni nini? Tukitumia kiingereza kwa mfano, RELIGION ni Nini? DINI ni nini?
Hilo ndilo swali langu, acheni kupiga chenga
Ukimaliza kuandika haya magazeti, kuna swali linakusubiri.Kijana Hilo kadhalika ulilopewa ni jibu tena ni jibu sahihi mno. Muwe mnasoma Wakristo, hata hujui maana za matamko hupatikana vipi, Kuna namna nne za kutoa maana ya kitu, na hiyo uliyo pewa ni maana kadhalika, kwa maana ya kuainishiwa dini Fulani.
Kwa mfano nilipo sema, au nikisema ukitaka kujua maana ya ujinga muangalie Mkristo, kwanini nimesema hivyo sababu ya namna yake ya kuyabeba mambo pasi na utafiti. Ndiyo maana ukaambiwa Dini mbele ya Allah ni Uislamu hii pia ni maana, kwa sababu mtu mwenye akili atauliza au atauangalia Uislamu ni nini.
Sasa hivi vitu vidogo sana, vinawashinda Wakristo.
Huyu anapotezea watu muda. Wajinga sana Wakristo hapo kwa ujinga wake na uongo wake atakuja tena kuandika kwamba Waislamu hawakumjibu swali lake walikimbia. Waongo sana watu hawa.Chief ukiona jamaa anarukaruka ujue ni dalili ya kuchemka,kama vipi tumpuuze Tu coz anatupotezea Mda tu
Chief endelea kupiga 📌📌 kama kawaida yako,nakuaminiaAya tupe jibu la Yesu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa bibilia mpya ya ( dictionary toleo la ngapi hili),
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Popoma mmeshindwa kuthibitisha kua ukristo ni DiniUkimaliza kuandika haya magazeti, kuna swali linakusubiri.
Nalirudia: [emoji116]
Tafsiri ya Neno DINI/RELIGION ni nini? Tukitumia kiingereza kwa mfano, WHAT IS RELIGION?
Nakukunuu:[emoji116]Kwenye lugha kuna kitu kinaitwa Etimolojia, huwa panaangaliwa mzizi na chimbuko la neno husika. Huwezi kufasiri Tamko ukapatia pasi na kujua asili ya tamko hilo, nimekurudisha katika asili ya tamko husika na maana ya dini nimekupata.
Kwenye Kamusi zote za lugha utakuta maana hii niliyo itoa mimi.
Dini ni njia kilugha. Kiistilahi mfumo wa maisha kwa ajili ya kumuongoza mtu kufikia lengo fulani. Ndiyo maana Kuna wakati matamanio yako ukiyafata husemwa umeyafanya kuwa dini yako.Ukimaliza kuandika haya magazeti, kuna swali linakusubiri.
Nalirudia: [emoji116]
Tafsiri ya Neno DINI/RELIGION ni nini? Tukitumia kiingereza kwa mfano, WHAT IS RELIGION?
Sina Kamusi hiyo, ukitaka itafute wewe kwa muda wako. Kadhalika tafuta Kamusi ya Kiswahili na Kiarabu zote zinaishi humo.Nakukunuu:[emoji116]
"Kwenye Kamusi zote za lugha utakuta maana hii niliyo itoa mimi."
Niwekee hapa Kamusi ya Kiingereza yenye maana hiyo uliyotoa wewe.
IWEKE HAPA.
Hakuna mwenzako hata mmoja aliyetoa DEFINITION ya DINI/RELIGION kwa mujibu wa Dictionary kama ambavyo mimi nimeuliza.Wewe chenga kweli chief,kwahiyo kama mwenzangu kajibu nami nirudie majibu hayo hayo.
Halafu nakukumbusha uje na Maandiko kuwa Ukristo ni Dini Kwa mujibu wa biblia
Hawa kaka wanajifanya wajuaji kumbe hamna kitu na tunapo wapotezea ndio wanajiona wameweza kumbe wehu tu.Chief endelea kupiga [emoji419][emoji419] kama kawaida yako,nakuaminia
Kingine hata kama ningekuwa na hiyo kamusi kwa utoto unao uleta nisingekuwekea na Kamiusi ziko nyingi sana. Kwa mjinga kama wewe kukuwekea hata hiyo ya Kiswahili ni kupoteza muda.Nakukunuu:[emoji116]
"Kwenye Kamusi zote za lugha utakuta maana hii niliyo itoa mimi."
Niwekee hapa Kamusi ya Kiingereza yenye maana hiyo uliyotoa wewe.
IWEKE HAPA.
Dictionary ndio bibilia ya toleo la mwaka gani hilo nikalisome leoHakuna mwenzako hata mmoja aliyetoa DEFINITION ya DINI/RELIGION kwa mujibu wa Dictionary kama ambavyo mimi nimeuliza.
Mnapiga-piga tu chenga humu wote.
Iweke hapa Wewe Tafsiri ya DINI/RELIGION kutoka kwenye Dictionary na utakuwa umejibu swali langu.
I dare you, IWEKE HAPA.