[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kijana acha kupotezea watu muda, kama huna hoja au cha kuandika, Kaa utulie. Au toa wewe maana ya dini, sababu hukosoia maana uliyopewa unarudia rudia swal ambalo umeshajibiwa.
Inaonekana unaijua maana ya dini, tupatie hiyo maana kama huijui na unapinga inaonyesha ni namna gani ulivyo kuwa huna akili, unapinga kitu ambacho hukijui.
Nipo na kaka zako katika Imaan.Aya tupe jibu la Yesu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wa bibilia mpya ya ( dictionary toleo la ngapi hili),
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huu muda unaotumia kuqoute watu wengine, ungeutumia kujibu swali langu.Huyu anapotezea watu muda. Wajinga sana Wakristo hapo kwa ujinga wake na uongo wake atakuja tena kuandika kwamba Waislamu hawakumjibu swali lake walikimbia. Waongo sana watu hawa.
Jitekenye tu ukimaliza utwambie kamusi ndio bibilia ya Yesu yupi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisema humu, Hakuna Mwislam amewahi kunijibu hili swali. Ni blah blah tu na kupiga kona.
Hili swali inaonekana ni gumu sana.
Wamekupiga ko huna dini hapoNipo na kaka zako katika Imaan.
Nilifikiri watakuwa na jibu, naona nao ni kama wewe tu.... Wote wanakimbia swali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yesu leo anakimbilia dictionary bibilia yake haijajitosheleza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu muda unaotumia kuqoute watu wengine, ungeutumia kujibu swali langu.
Kwani shida ni nini? Swali halijibiki au tatizo ni nini?
How come nyie wavaa kobazi watatu wote mmekula kona kulijibu?
Kesho uje useme hawajibu tatizo mmelishwa matangao pori mengi mna kitu hakija jitosheleza mpaka mnatufata msaada katika kamusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilisema humu, Hakuna Mwislam amewahi kunijibu hili swali. Ni blah blah tu na kupiga kona.
Hili swali inaonekana ni gumu sana.
Hiyo uliyoweka ni tafsiri ya msikitini.Dini ni njia kilugha. Kiistilahi mfumo wa maisha kwa ajili ya kumuongoza mtu kufikia lengo fulani. Ndiyo maana Kuna wakati matamanio yako ukiyafata husemwa umeyafanya kuwa dini yako.
Nimeshakupa maana tatu za Dini. Sasa tuambie wewe Dini ni nini na utuambie asili ya neno dini ni wapi.
Kwahiyo kama ni ya Msikitini siyo maana au ? Kwahiyo msikitini hakuna kamusi au msikiti huwa unatoa maana ?Hiyo uliyoweka ni tafsiri ya msikitini.
Elewa swali, ninataka TAFSIRI YA KAMUSI/DICTIONARY. Mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
Hii maana yako inapatikana katika dictionary/kamusi gani?
Niwekee hapa Tafsiri ya DINI/RELIGION kutoka kwenye kamusi/dictionary. Hilo ndilo swali langu.
Hebu Acha blah blah.
Waislam wamejitoshelza mpaka tafsiri ya kila kitu wanayo kuku nyie weka na wewe tafsiri ya kanisaniHiyo uliyoweka ni tafsiri ya msikitini.
Elewa swali, ninataka TAFSIRI YA KAMUSI/DICTIONARY. Mbona mnakuwa wagumu kuelewa?
Hii maana yako inapatikana katika dictionary/kamusi gani?
Niwekee hapa Tafsiri ya DINI/RELIGION kutoka kwenye kamusi/dictionary. Hilo ndilo swali langu.
Hebu Acha blah blah.
Sasa kama huna hiyo kamusi umejuaje kuwa ina maana uliyotoa wewe!!Sina Kamusi hiyo, ukitaka itafute wewe kwa muda wako. Kadhalika tafuta Kamusi ya Kiswahili na Kiarabu zote zinaishi humo.
Huu muda unaotumia kuandika mambo ambayo hayajibu swali, ungeutumia kujibu nilichokuuliza.Kingine hata kama ningekuwa na hiyo kamusi kwa utoto unao uleta nisingekuwekea na Kamiusi ziko nyingi sana. Kwa mjinga kama wewe kukuwekea hata hiyo ya Kiswahili ni kupoteza muda.
Maana nyingine ni hizi :Sasa kama huna hiyo kamusi umejuaje kuwa ina maana uliyotoa wewe!!
Nenda Google hapo, kuna dictionary kibao.. Uje hapa Ujibu swali langu.
Yesu leo hamumtaki athibitishe manam taka Google [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa kama huna hiyo kamusi umejuaje kuwa ina maana uliyotoa wewe!!
Nenda Google hapo, kuna dictionary kibao.. Uje hapa Ujibu swali langu.
Nikujibu mara ngapi maana hapa kila nachoweka kina jibu swali lako.Huu muda unaotumia kuandika mambo ambayo hayajibu swali, ungeutumia kujibu nilichokuuliza.
JIBU SWALI BWANA KISAI...Acha maneo maneno
Mwambie yesu athibitishe kama ukristo ni Dini changamkaHuu muda unaotumia kuandika mambo ambayo hayajibu swali, ungeutumia kujibu nilichokuuliza.
JIBU SWALI BWANA KISAI...Acha maneo maneno
Hayo maneno wakati yanaandikwa karne ya 7, lugha zilishakuwepo toka karne nyingi sana.. na hiyo Quran ilitumia lugha.Kwahiyo kama ni ya Msikitini siyo maana au ? Kwahiyo msikitini hakuna kamusi au msikiti huwa unatoa maana ?
Nakupa maana nyingine hii :
الأديان: جمع دين، والدين في اللغة بمعنى: الطاعة والانقياد.والدين في الاصطلاح العام: ما يعتنقه الإنسان ويعتقده ويدين به من أمور الغيب والشهادة
وفي الاصطلاح الإسلامي: التسليم لله تعالى والانقياد له.
والدين هو ملة الإسلام وعقيدة التوحيد التي هي دين جميع المرسلين من لدن آدم ونوح إلى خاتم النبيين محمد صلى الله عليه وسلم.
قال الله تعالى: إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ [آل عمران: 19] وبعد أن
Hii maana ya nne nakupa. Hiyo ya kwenye Kamusi ya Kiarabu. Sasa utuambie hiyo siyo Kamusi.
HahahahahahahahahahahahahaNikunibu mara ngapi maana hapa kila nachoweka kina jibu swali lako.
Ulivyo juha hiyo ni maana ya neno sio quran kuku weweHayo maneno wakati yanaandikwa karne ya 7, lugha zilishakuwepo toka karne nyingi sana.. na hiyo Quran ilitumia lugha.
Na mimi sijakuuliza kuhusu tafsiri za Quran...nimekuuliza kuhusu TAFSIRI YA LUGHA.
Mimi ninakutaka wewe na wenzako mniambie, KWA MUJIBU WA TAFSIRI YA LUGHA...Dini ni Nini?
Hivi mbona hili swali mnaliogopa sana?
Hapa mpaka ulete bibilia utwambie ukristo dini au tukuteteee kwa quran uone ukubwa wa quran tukufuHahahahahahahahahahahahaha