Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Rasmi huna akili..
 
Tukianza na hamza,na wale waliokuwa wanachoma makanisa na kumwagia tindikali mapadri kule zenji.
Hamza alikuwa imamu wa msikiti upi au wanaomwaga tindikali huyo padri?
Tunakupa mifano ya wachungaji kama Kibwetere wa Uganda alitia watu kibiriti, Victor Kanyari wa Kenya anashika wadada hadi maziwa video zake jicho pevu zipo, Bushiri wa malawi, tapeli maarufu Mwamposa anajaza hadi uwanja wa taifa, kuhani Mussa wa Kimara anayewatia wazezeta wa kuwadanganya mmerogwa. Hao ninaokupa watu wenye kundi la waumini kama timu za mpira.
Mlivyo mazezeta mnasema jina la Yesu lina nguvu. Ila ajabu iliyopo ukitamka wewe hautikisi hata sisimizi ila Mwamposa hadi akumwagie mafuta na maji ya uhai ya azam mapepo ndiyo yanawatoka😀.
 
Kaangalie enzi izo Usifananishe na hizi za sasa..

Yesu hakuoa kabisa wala hakuwa na mwanamke ,we hyo amri ya kuoa way kuwa na mke umeitoa wapi?
Kwani mtume wa mungu anafuata enzi? Mtume anapaswa kufuata YALIYO SAHIHI na sio kufuata enzi...yasiyo sahihi anapaswa kuyakemea...

Enzi zile ushirikina ulikuwepo, lakini hakuufuata. Alifuata yaliyo sahihi , right?

Sasa ilikuwaje kwenye kuoa Asifuate yaliyo sahihi afuate enzi?

Ni ngumu sana kumtetea yule jamaa kwenye hii ishu ya kuoa katoto ka chekechea...labda ujitoe akili tu.
 
Tupe reference inayo sema hayuko sahihi au ndio ipo kwenye dictionary [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Una hakika huyo aliyeoa alikuwa na umri miaka 9 ni sawa na zama za sasa ..ebu jaribu kucheza na zama then uje hapo wapo watu miaka ya ya 1930's wameolewa miaka 13 na ni Tanzania


Izo ni sheria kama hujui kwa sasa umri wa mtu mzima ni miaka 22 sio 18 ,wakilenga miaka 22 bado watu wanategemea wazazi .

Ebu nenda huko manyara ua wamasai ukaone wanaozeshana miaka mingap

Hakuna kitabu chochote kama unacho leta kwamba mtume kuoa kwake alienda kinyume na maadili ya jamii Yake,mbona alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye husemi.

We endelea kufuata wazungu
 
Mtoa mada huwa ana vimelea vya ushoga kwa mbali ndio maana nimejaribu kumfuatilia posts zake hana hoja wala chochote .yeye ana andika kwa kuwa haupendi uislamu na waislamu

Ndio maana anapapara na uandishi wake ,huwa anatumia utashi na kila anachosikia kuhusu uislamu

Kiufupi huyu jamaa hana anachojua kuhusu uislamu


Sasa eti anasema vijana wa kiislamu wameshikiwa akili ??? Kweli??? Hivi unajua vijana wa kiislamu au unawasikia??

Basi kwa taarifa tako vijana wa kigalatia ndio wameshikiwa akili kwa kuaminishwa kuwa uislamu ni m,baya wakati kila mtu anajionea mambo yanavyokwenda kwa kasi
 
Ukiona mtu anasema yule ni malaya basi tambua yeye ni mshiriki ? Kwa nini ujuwe fulani ni shoga kama sio wewe ni shoga.
 
Kwa hiyo karne hiyo ndio alitumwa na Mungu kukaoa hako ka binti. Munamfuataje kwa hili, au alisema huko karne zijazo msiige/msinifuate. Sifa kuu ya mtume ni kuwakilisha kile alichotumwa na Mungu.
Huyo ni mtume wenu endeleeni kwa imani yenu kumfuata.
 
Kwa hiyo karne hiyo ndio alitumwa na Mungu kukaoa hako ka binti. Munamfuataje kwa hili, au alisema huko karne zijazo msiige/msinifuate. Sifa kuu ya mtume ni kuwakilisha kile alichotumwa na Mungu.
Huyo ni mtume wenu endeleeni kwa imani yenu kumfuata.
Wapi maandiko ynasemwa alitumwa na umri tambua umefanyiwa estimation kutokana na nyakati...Ebu jaribu kusoma vizuri ndo maana hata estimation ya kuzaliwa kwa yesu hamjui eti December 25
 
Hakuna cha zama acheni kutetea Ujinga.

Kwamba mtoto wa miaka 6 zamani alikuwa mtu mzima? Hata enzi za Adam, miaka 6 bado ni mtoto... kimaumbile ni mtoto wa darasa la kwanza kwa miaka hii.

Ndoa za kuoa watoto ulikuwa ushenzi wa wakati ule (kama kukeketwa kulivyo ushenzi wa wakati huu)... na mtume akaendeleza ushezi huo.


Kama kweli alikuwa mtume wa mungu angefanya lililo sahihi kwa kuacha kuendeleza ushezi..... ila akaendeleza tu kwa sababu alikuwa tu mtu kama wewe tu.


Wewe hapo unaweza kunipa binti yako wa miaka 6 nimuoe? Ili tufanye kama mtume alivyofanya? Unaweza??????
 
Wapi maandiko ynasemwa alitumwa na umri tambua umefanyiwa estimation kutokana na nyakati...Ebu jaribu kusoma vizuri ndo maana hata estimation ya kuzaliwa kwa yesu hamjui eti December 25
Hebu mimi na wewe tumuige mtume.

Hebu wewe nipe binti yako wa miaka 6 nimuoe halafu nije kumuingilia akiwa na miaka 9...
 
Umesahau kuna Mkubwa wao mmoja juzi katemblea Aftrca kuna watu wametembea miles za kutosha wakamshike miguu wabarikiwe, huu ni uzwazwa mkubwa sana.
Kuna wengine wanskesha wakolia kuwaombea wengine cha ajabu madhambi kama ndio yanazidi.
 
Wapi maandiko ynasemwa alitumwa na umri tambua umefanyiwa estimation kutokana na nyakati...Ebu jaribu kusoma vizuri ndo maana hata estimation ya kuzaliwa kwa yesu hamjui eti December 25
Mtume hatakiwi afanye lile asilotumwa na aliemtuma. Hata asiposema matendo yanaongea mfuateni huyo ni mtume wenu. Ma-estimation yalifanywa tuchukulie yalikosewa, badilisheni basi angalau iwe alioa binti wa miaka 14 angalau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…