Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Kuna wimbi kubwa la vijana wa Kiislamu kushikiwa akili au mawazo bila kujitambua kuwa wanapotoshwa

Askofu Josephat Gwajima, kuna mwaka aliwakusanya waumini wake wakaandamana mpaka Airport, lengo kuhubiri neno kwa mataifa mbali mbali, hapo kumbuka hawakuwa na passport wala visa ya kwenda nje ya nchi.
Unamzungumzia huyu gwajima, gwajboy au unachanganya madesa? Wale walikuwa wanajiita wasabato masalia, fuatilia mambo kwa usahihi. Wale walikuwa wapumbavu fulani hivi kama hawa wanaojadiliwa hapa
 
Kujitambua kuwa wewe ni nani na kuwa mdadisi ni kitu kizuri ila ukishaunganishwa imani tu basi ndo akili inapotea.

Nazungumzia ndugu zetu wenye imani ya kiislamu kwa vijana wenzangu. Maisha tunayotafuta na makazi tunaishi na watu tofauti ila bahati nzuri asilimia kubwa maeneo niliyopo na kazi asilimia kubwa wenye imani ya Kiislamu.

Kiukweli kilichonishangaza siku moja mpaka naeleza hivi kuona mtu mwenye cheo cha sheik akiwaambia vijana kama kupotosha kuhusu mgogoro na vita inayoendelea huko Urusi na Ukraine. Ni kwamba Urusi inaipiga Ukraine sababu anatetea Uislamu, lengine kuhusu vita vya Kagera mpaka kuna CD zimejaza hayo hayo.

Kitu chengine sitasahau sheik mmoja anaeleza kuhusu Rwanda mauaji ya kimbali ni dini wakati ukabila na siasa.

Kuna mengi ambayo vijana wanadanganywa kwa kupandikizwa kitu bila kujua.
Anaweza Sheik akaongea na watu wakamsikiliza lakini haina maana wamemkubalia alivyosema !! Kwa sababu aliyoyaongea ni fikra zake sio kutoka kwenye maandiko !!
 
mpe ukweli huyo kichwa maji, nimesema heri ya ukristo kuliko uislam, kwenye ukristo ukiona kuna mafundisho ya ajabuajabu unahama dhehebu fasta bila woga kitu ambacho hakipo kwa uislam. Mila, desturi na tamaduni za kipagani zimeshikizwa na uislam. Kwa hiyo waislam wanaona hiyo dini ndio kila kitu katika maisha yao na hakibadiliki nyakati zote. Kwenye ukristo kila nyakati Mungu aliinua mitume tangu agano la kale na agano jipya na baada ya agono jipya. Ndio maana kwenye ukristo kuna matengenezo pale panapoingizwa hila na upotoshaji wa ukweli
Sasa huko kuhama hama mathehebu, huoni kunadhihilisha upumbavu wa Dini yenu, mnaabudu msichokijua, mnaabudu bila imani, ukihama ukienda huko ndiyo ukakuta ushetani zaidi unahama tena.

Unazeeka Ukiwa unatafuta kanisa la kweli.
 
Wewe kwanza shule ni 0.
Hivi ni wapi wanapochangishwa michango isiyo na vichwa wala miguu.
Vijana wanaojielewa ni wa kiislamu ndiyo maana huwezi waona wanaswagwa kama mapunda eti sijui fungu la ngap mara sijui sadaka yanini.
we binti unaandika nini? Kwani nyie hamna zaka? Hizo ni aina za sadaka ambazo ni sehemu ya ibada. Kuhusu michango siku hizi hakuna wamisionari wa kigeni wala wahisani, washirika wenyewe wanachanga kujenga makanisa na mahekalu tofauti na huko uliko mpaka msaidiwe kujenga na mwarabu anayeuza rasilimali zake za mafuta
 
Yaani gwajima huyu huyu mwanasiasa apeleke watu uwanja wa ndege bila paspoti wapae kwenda ng'ambo? Muwe mnaleta habari za ukweli zisizo na shaka
Mi sishangai mtu anapotafuta hela, na akaona watu wanatoa lolote la kuvuta wavuasi anaweza fanya, ndiyo maana yeye anatembelea hurmmer, kwa hela za wajinga, wanaojidanganya eti hela zao anakula Mungu.
 
Yaani gwajima huyu huyu mwanasiasa apeleke watu uwanja wa ndege bila paspoti wapae kwenda ng'ambo? Muwe mnaleta habari za ukweli zisizo na shaka
Hivi hao anao waburuza kanisani kila siku huwaoni au unajitia upofu

Anawahubiria siasa na mpaka wanapondana yeye na makonda kupitia kanisa

Nikuongezee habari

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mzee mbona unarusha mada?
Kati ya ninyi wagalatia na waislam ni wepi wanapelekwa kama manyumbu?
waislam ndio wako hivyo, umewahi kusoma wapi muislam anahoji uislam? Yule muislam rushdie aliandika yake kuhusu uislam yakamkuta makubwa. Kwenye ukristo huwezi kukuta jazba kama hizo. Kila mtu atabeba dhambi zake. Ukimkashifu Mungu, Mungu mwenyewe atakushughulikia
 
Ujinga unao tokana na DINI ya kikriso NIKUSHINDA KANISANI HUKU UKIAMINI MUNGU ATAKUPA UTAJIRI MKUBWA BADARA YA KUFANYA KAZI

Na ujinga unao tokana na mafundisho ya DINI ya kiisramu

NIKUAMINI KWAMBA UKIJIRIPUA/KUUWA/KUU WAWA KWA AJIRI YA JINA LA ALLAH BASI PEPO NI YAKO NAHUKO UTAANDALIWA MA BIKRA WAKUTOSHA

Babu yangu Alisha wahi kuniambia

DINI NI SHIRIKA LA AMANI DUNIANI SI VINGINEVYO YALE MAMBO YA JEHANUM,KUZIMU,PEPONI, NIHABARI ZA KUFIKIRIKA TU
 
Sasa huko kuhama hama mathehebu, huoni kunadhihilisha upumbavu wa Dini yenu, mnaabudu msichokijua, mnaabudu bila imani, ukihama ukienda huko ndiyo ukakuta ushetani zaidi unahama tena.

Unazeeka Ukiwa unatafuta kanisa la kweli.
kutoka na kuhama dhehebu ni kawaida sana na ni ukuaji wa ukristo. Rejea ukatoliki, uprotestanti mpaka upentekoste. Hizo ni nyakati za kukua kiroho kwa kanisa la Mungu ambalo hata wewe unaweza kuwa ni kanisa kwa neema ya Yesu Kristo. Usiwe mkiritimba wa udini
 
Ujinga unao tokana na DINI ya kikriso NIKUSHINDA KANISANI HUKU UKIAMINI MUNGU ATAKUPA UTAJIRI MKUBWA BADARA YA KUFANYA KAZI

Na ujinga unao tokana na mafundisho ya DINI ya kiisramu

NIKUAMINI KWAMBA UKIJIRIPUA/KUUWA/KUU WAWA KWA AJIRI YA JINA LA ALLAH BASI PEPO NI YAKO NAHUKO UTAANDALIWA MA BIKRA WAKUTOSHA

Babu yangu Alisha wahi kuniambia

DINI NI SHIRIKA LA AMANI DUNIANI SI VINGINEVYO YALE MAMBO YA JEHANUM,KUZIMU,PEPONI, NIHABARI ZA KUFIKIRIKA TU

Baba yako na wewe ni wale wafuasi wa Marehemu Wanyonyi aliyejiita mungu wa kiafrika ?
 
Wakristo watakuelewa ila waislam hawatakuelewa, haijulikani wamelishwa nini hawa waafrika wapenda utumwa. Historia iko wazi kuwa wafanyabiashara wa kiislam akina tip tip ndio walikuwa magwiji wa biashara ya utumwa afrika. Wakaibuka akina Moresby, mzungu huyu na wenzake walileta mkataba wa kukomesha biashara ya kishenzi kuuza watu kama nyanya. Nani anataka kuuondoa uislam katika biashara ya utumwa? Tena waombe msamaha kwa waafrika kwa ushenzi waliowafanyia
 
Mwandishi
Hemedyjrjunior
/kimodomsafi
........
Allhamudulilah kwa siku nyingine tena
allha anazidi kutenda mijuiza Amen.
Leo niko na mada.
Hakuna dini itakayokupeleka mbinguni tofauti na matendo yako mema yamfurahishayo mungu.
Watu wengi wamekuwa wakikadhania dini njoo uku, twende kule yaani kutanga tanga na shida za dunia ila hawajui ukianza kutanga tanga nikwamba umekosa direction so kinachofuta unaenda kuanguka.
Tumejaliwa elimu ya kuweza kutambua mambo au majambo kuna vitu viko kwasababu ya utashi wa binadamu kwakuw binadamu yuko na maarifa na mwenyezi mungu amemjalia mwanadamu maarifa so usishangae kinachofanywa na MWANADAMU afu ukapagawa . Icho hata sio punje , mungu anatenda na kuonesha ukuu wake.
Dini ni mwongozo katika maisha ya binadamu kidunia kwahyo ni taasis za watu au ya mtu ili mambo yaende ila ukikosa ufahamu utabisha mpaka kufa. Kwenye dini ndo kunakozungumzwa maswala ya mungu na kuhabarishana historia za waliopita walifanya nini .nadhani naeleweka..... na dini zilikuja au zilietwa na watu ili wafanye biashara (hapa sio kwamba uniamini but najaribu kuumiza kichwa wakati usislamu unakuja waarabu walikuwa wanafanya biashara ya utumwa kwahiyo mwenyezi mungu alikuwa anapenda vile au ilikuwa njia sahihi ya kuijua dini ni nini? Maana ilikuwa ni mateso kwa kipindi hicho. Hata hivyo na kwa wakristo wamissionary nao WALIKUJA kwa gia hiyo ya kununua watumwa na kueneza dini yao uku wakianzisha shule za seminar KUFUNDISHA upadiri n.k.
Narudia dini bora ni imani yako thabit ya kumwamini Mola wako kila kuchwao na kutenda mema kushika yote aliyokataza na aliyoamrisha kufanywa mengine wameongeza kutokana na dini zao zinavosema .
Elimu | akili......
Ukiwa na akili utapata elimu....
............... uwe na siku njema.................
Dini lengo iwepo amani ila sasa now vita iko kwasababu ya dini, watu wanatengana kwa sababu ya dini duuh Allha tufungue,tunusuru maana sio kwema kila mtu anajiona mbora zaidi ya mwenzake.
Waarabu/wahindi au watu weupe ubaguzi kwa waafrika hapa kulikoni.....
 
Back
Top Bottom