Kuna wimbo wa BARAKA DE PRINCE ameimba bila kutumia neno "MOYO"?

Hv nae siza madini yupo wapi?
 
Hv nae siza madini yupo wapi?
There is no way angesurvive maana mziki wake ulikuwa wa kawaida sana.
Wapi hussein machozi wote wasanii wa Kid Bway tetemesha records uwa wakiondoka wanaondoka kwa maringo lakini uwa wanapotea na anaibuka na mwingine.
Kwasasa kamleta kwenu Koyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…