Kuna yeyote aliyepata ajira kwa kupitia 'everythingDAR'?

Kuna yeyote aliyepata ajira kwa kupitia 'everythingDAR'?

Eli ikibidi nitafute mtu wangu na yeyote mwingine anayepata shida na sio kwa EverythingDAR.com/ZoomTanzania.COM tu bali mwenye tatizo na submission or search kwenye site zinginezo kwani vijana tusiposaidiana wenyewe hakuna malaika wakutusaidia na pia tuelewe kuwa ...UJUZI USIOUTUMIA AU KUUFANYIA KAZI NIA SAWA NA UJUZI USIOKUWA NAO. pAMOJA DAIMA PEOPLE!!!!!!!!!!!!
 
READ THIS AND PLEASE DON'T LOOSE HOPE IN LOOKING FOR JOB!!!!


Jamani are we real serious about the comments we make? Am sure kama mtu ni graduate au sio graduate ila anatafuta kazi anapaswa kujua mambo mengi. Mimi nimepata kazi mara tatu sehemu tofauti ikiwamo hii ya sasa hivi kupitia nafasi zilizokuwa zinatangazwa na EVERYTHINGDAR.COM na sasa zoomtanzania.com.

Lazima tukubali ukweli kuwa wplicants wengi tunaufahamu mdogo kuhusu , job search skills, computer applications (internet use/website information search), interview skills and job application package preparation.


So its likely you can not get job or called for an interview kama wewe mwenyewe you did not seriously make effort and research for the job and ensure that you did real meet the position requirements as stipulated by the employing institution vinginevyo tutakuwa tunalumbana bila majibu na kukatisha wengine tamaa kuwa hatupati kazi au kazi fulani si za ukweli kama ambavyo wengine wanaamini kuwa huwezi pata kazi TRA, BOT,na kwingineko maarufu bila kumjua mtu. Sikatai kuna weza kuwa na zengwe ila sio kila siku na pia sio ndo ukate tamaa kabisa kuomba, kwakuwa hupati hasara na mtafutaji hachoki pia.

Now for those who has a tried to follow up IT trend or changes in computer use and applications though business studies graduate like I or graduate from any field would know the following;

The reason the former EverythingDar.com and now ZoomTanzania.Com has so many jobs, is because they protect the employers email address. If they post the actual email address, then that email is exposed to SPAM.

Employers also don’t want to share their emails, because they don’t want the HR manager, receiving hundreds of follow up emails from candidates that applied for the job asking about status.

This form of email protection by the so called CAPTCHA is greatly used by a lot of website too on their contact page as to prevent spams and automated email sending by robots for advertising or promotion. This is pretty standard, on any professional job site in the world.


The emails are protected by CAPTCHA, which is the code you have to enter before sending the email. This is the same for all listings on ZoomTanzania.com, not just jobs, and for the same reason as explained above.

They way this works, when you send a job application through the CAPTCHA form, the email goes directly to the right person at the company. If they reply to your email, then you will see their email address. This way, they are only exposing their email address to who they consider to be serious applicants.


Many companies here in TZ implement a strict “mailbox size”, meaning the email account can only hold so many emails before the mailbox is full. If you are receiving error messages that the email was not delivered, chances are good that it is because the mailbox is full and can’t accept any more emails.

This can happen very quickly for a popular job when many people apply, particularly with attachments of CV’s, certificates, etc. that fill up the mail box quickly. The best way to avoid this, is to apply early.

If you are not getting many interviews, it’s not Zoom Tanzania’s fault. It’s probably because you are applying for jobs that you are not qualified for, or because you are not writing a good cover letter. ZoomTanzania has created a nice little set of helpful hints on how to get more interviews. I found this very helpful, and if you are not getting interviews, I strongly recommend you read it. Check out ZoomTanzania | Job Seekers Guide

Ninatamani sana kama kila mtu apate kazi na pia napenda tuelimishane namna yakufanya kupata kzi na nataraji sasa nimepata challenge kuba kwani nimekuwa kila siku naumia kuhusu watu kukata tamaa kuhusu kazi au applications wanazozifanya. Cha msingi ni kujua kuwa website nyingi wanaolist jobs huwa zinaposting free na waajiri, pia huwa wanaongeza kwa kuchapisha nafasi kutoka kwenye matngazo ya kazi kwenye magazeti na hivyo kurahisisha kuweka pamoja nafasi hizi na kumsaidia yule na mimi tusioweza kununua magazeti mengi au kila siku, pia kuna waajiri ambao hawatangazi magazetini.


Mwisho tuelewe kuwa unapotuma application ikaleta error au isiende mara nyingi inatokana na kujaa kwa inbox ya mpokeaji au hata akiwa alikosea anwani pepe/email adress ndo haya mambo yanajitokeza na si kuwa website husika , tuelewe kuwa website inakuwa kama gazeti kwani unapoona nafasi kwenye gazeti ukaomba application isiende huwa unamlaumu mwenye gazeti?


Vijana wenzangu na watanzani wenzangu naomba niwakilishe mchango wangu wa mawazo na ufahamu nikiamini tutakosoana kwa kusaidiana na kuelimishana ili sote tufikie lengu la kuweza kupata kazi na kujimudu kimaisha. Pia niatajitahidi kuwapa resources mbalimbali kama hii niliyoione toka ZOOMTANZANIA.COM
. ZoomTanzania | Job Seekers Guide

Kwenye maelekezo ya namna nzuri yakuandaa application package yako kwani mtego huu wa nini kinahitajika tukiweza then tutaitwa kwenye interview nyingi na tukishaitwa tutatakiwa kujua tena mtego wa interview skills and questions ambapo tukimaliza na hilo basi kazi tutapata.

Tusiwe wachoyo kuelimishana hata kupeana testimonies kuwa namna gani ulifanay au uliandaa vipi appilcation zako ukapata kazi kwa sisi tuliokwisha pata.


VIJANA NI NGUVU YA TAIFA LA LEO, NA KAZI NDO MSINGI WA MAENDELEAO.

nimekusoma ndugu na asante kwa ushauri, ila ki ukweli hata kama mail box inajaa basi inajaa mapema , mi niliwahi kutuma application siku ya tangazo yaani mda kama wa nususaa tangu limetangazwa na mambo yakawa hayohayo ya spam na madudu mengine
 
HarusiYetu thank you very much for a detailed explanation. Naona umewatetea sana EVERYTHINGDAR, nataka niuliza isnt it a good advertsiers duty to make sure what he/she is advertising for is geuine? Then how come LIVING FUND was cropped up by EVERYTHINGDAR?

Will u pls justify this one thing and i will be in favour of applying through EVERYTHINGDAR!!!!
 
Back
Top Bottom