HarusiYetu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 458
- 10
Eli ikibidi nitafute mtu wangu na yeyote mwingine anayepata shida na sio kwa EverythingDAR.com/ZoomTanzania.COM tu bali mwenye tatizo na submission or search kwenye site zinginezo kwani vijana tusiposaidiana wenyewe hakuna malaika wakutusaidia na pia tuelewe kuwa ...UJUZI USIOUTUMIA AU KUUFANYIA KAZI NIA SAWA NA UJUZI USIOKUWA NAO. pAMOJA DAIMA PEOPLE!!!!!!!!!!!!