Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hayo ndio maswali mnayo ulizwa na unafeli?Mimi nimeshafeli tayari.
ila hawa wajinga kweli kweli...wameuliza swali ambalo maelezo hayakuwemo kwenye video.
Nimerudia video mara 10 bado skuona jibu..Nikabahatisha nmekosaView attachment 2654020
Koomer wewKwahiyo hayo ndio maswali mnayo ulizwa na unafeli?
Punguza wenge kaka, najua kidogo kuhusu iyo platform. Transcript yako baada ya kumaliza kozi itajumuisha alama zile kuanzia algebraic expressions ulizoanza kujifunza na kuendelea.Mimi nimeshafeli tayari.
ila hawa wajinga kweli kweli...wameuliza swali ambalo maelezo hayakuwemo kwenye video.
Nimerudia video mara 10 bado skuona jibu..Nikabahatisha nmekosaView attachment 2654020
umecomplete ila hujui next stage ni lini? duhHabari,
Napenda ulizia kwa yeyote anayefuatilia hii online learning platform ya EACOP je kuna any information waungwana? MIMI nime complete session ya kwanza, next stage lini?