Kuna yeyote anayejua au kuweza kujua ni vigezo gani mwendazake Magufuli alitumia kuwapa mamlaka watu wasiofaa na wanafiki waliojifanya kumuunga mkono?

Kuna yeyote anayejua au kuweza kujua ni vigezo gani mwendazake Magufuli alitumia kuwapa mamlaka watu wasiofaa na wanafiki waliojifanya kumuunga mkono?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Leo nimemkumbuka John Pombe Joseph Magufuli. Jamaa alijua kututenda kama watu na taifa. Huwa siachi kujiuliza ni vigezo gani alitumia kuwapa mamlaka watu wanafiki na wa hovyo waliokuwa wkimsifia na kumchekea wakati nyuma ya pazia walikuwa wakimchukia, kumponda na kutamani afe kama iivyotokea. Jikumbushe wakati wa COVID-19 alivyokataa barakoa na chanjo na wakati wa mazishi yake wale wale wanafiki walivyovaa mabarakoa na kutuhhimiza tuchanje. Ni unafiki na utapeli kiasi gani. Sielewi wanangu vigezo alivyotumia jamaa huyu kuwapa hata kuwaachia madaraka wabaya wake waliokuwa wakimchuuza bila ya yeye kujua. Ama kweli kuchamba kwingi? Kweli kabisa, sifa nyingi zaweza kuishia kuwa kashfa tupu.
 
Mkuu Tz hii huijui? Ni wanafiki sana hata wewe watu wanao kuzunguka ni ma umbwa hujawajua tu.
Sa100 alikuwa makamu wake lakini punde baada kufa tu unafiki wake tumeuona live bila chenga.

Mbaya zaidi kaenda ughaibuni akasema kufanya kazi na jpm ilikuwa kazi ngumu huku bado hakujihudhuru kama aliona hawaendani
 
Ww mwnyw hapo kuna wana upo nao bega kwa bega ila wanakuchora tuu
 
Father of All idiots halafu tukishajikumbusha ndio inakuwaje? Faida yake Nini? tukawachape hao wanafiki au?

Well, hao hao wanafiki wa awamu ya tano ndio hao hao waliomo kwenye awamu ya sita akiwemo Samia na Majaliwa maana walikataa chanjo hapo, ila tu punde baada ya bibi chura kuokota uraisi MAJALIWA na Bibi chura wakajidunga machanjo ambayo mwanzoni waliyakataa.

Machawa hamnaga kazi nyingine ya kufanya Zaid ya kupambana na awamu iliyokufa kwa kufungua thread za kipumbavvu kama hii. Tafuta kazi ya kufanya kubwa jinga wewe
 
Back
Top Bottom