Kunako 'faragha' hili limekaaje....?

KUna dawa moja kubwa ya tatizo lako-acha ko-do, kamwe hautatoka jasho tena kitandani
 
mi nafikiri kamuone daktari litakuwa ni tatizo la kiafya sio bure. pole sana.
 
Jaribu kugongea kwenye chumba chenye ac uone inakuwaje ile guest unayoenda pale kwa mtogole haifai
 

bao la pili natumia dakika 40 mpaka 55.
 
Duh!namuonea huruma huyo mpenzi wako,sasa unafanyaje mapenzi na jitu limeloa mijasho namna hiyo?tatizo lenu picha za pono zinawaharibu mapenzi hayafanywi hvyo unamkera mwenzio sema tu afanyaje,badilika bwana acha ujinga!
 
Huku nako kuna mengi. Siredi km hizi nashauri zifungwe mchana alafu zifunguliwe ucku ili vijana wetu wale wa kibongo flava wasiingie
 
Hauna tatizo lolote hilo jasho ni nguvu halisi unayoitumia jua mzunguko mmoja ni sawa na kutembea km8 kwa miguu
 
khaaaaaaa uwe na taulo au khanga ujifute katikati ya mechi......hakuna kitu kinaboa kama mtu anayetiririka mijasho chapachapa kwenye mechi......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…