MASUNGAMASUNGA
Member
- Jul 15, 2014
- 5
- 0
Napenda kuchukua nafasi hii kuwajuza wazazi,walezi na wanafunzi juu ya sintofahamu hii ya suala la ongezeko la ada chuoni kcmc.
Jana kulikuwa na college baraza na majibu ya viongozi wa serikari ya wanafunzi chuoni yalikuwa ni kwamba TCU wamekiandikia chuo barua kusitisha ongezeko la ada na pia walionana na mkuu wa mkoa naye amemtuma afisa elimu mkoa kuonana na waziri wa elimu.
Hivyo haijajulikana mpaka sasa kama wanafunzi watalipa ada ya sasa kwa mwaka wa masomo ujao au hii mpya?
Naomba wewe kama mzazi,mlezi au mwanafunzi unataka soma chuoni kcmc ujipange na ongezeko la ada sh mil 2 au tafuta chuo kingine maana nina uhakika ikishindikana kuongeza ada muda huu basi wataongeza hata mwakani.
Jana kulikuwa na college baraza na majibu ya viongozi wa serikari ya wanafunzi chuoni yalikuwa ni kwamba TCU wamekiandikia chuo barua kusitisha ongezeko la ada na pia walionana na mkuu wa mkoa naye amemtuma afisa elimu mkoa kuonana na waziri wa elimu.
Hivyo haijajulikana mpaka sasa kama wanafunzi watalipa ada ya sasa kwa mwaka wa masomo ujao au hii mpya?
Naomba wewe kama mzazi,mlezi au mwanafunzi unataka soma chuoni kcmc ujipange na ongezeko la ada sh mil 2 au tafuta chuo kingine maana nina uhakika ikishindikana kuongeza ada muda huu basi wataongeza hata mwakani.