Kunani humuuuuuu?????

Kunani humuuuuuu?????

Karl Marx

Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
13
Reaction score
0
Natumia jina linaloonekana juu hapo Karl Marx na naomba wanajamvi mnipokeeee!!! nmekuwa nikifuatilia jamvi hili kwa mda sana nikaamua sasa nami kujiunga ili niweze kushiriki. Asanteniiii
 
Karibu Karl Max Karibu Mwana Philosopher Karibu Mwenye Hekima Na Mimi Ndio Mwenyeji Wako Wa Kwanza
 
Karibu JF Karl Marx. Ila ulipe haki yake hilo jina.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom