Hiyo Ni Biashara acha makasirikoWale matapeli wa Vanila village Njombe sasa wamehamia Zanzibar. Na ITV iliyokuwa ikiwatangaza wakiwa Njombe (Vanila village Njombe) ndiyo Sasa inawatangaza wakiwa Zanzibar (Vanila village Zanzibar).
Hawa ITV ndiyo waliohusika kuwatangaza Kaylinda waliochezesha upatu kwenye mitandao na kisha kukimbia na fedha za watu.. why ITV?
Wa kulaumiwa ni vyombo vya usalama na wanaozisajili hizo kampuni. ITV wao sio kazi yao kuwachunguza wao ukiwapa vibali wanarusha kituWale matapeli wa Vanila village Njombe sasa wamehamia Zanzibar. Na ITV iliyokuwa ikiwatangaza wakiwa Njombe (Vanila village Njombe) ndiyo Sasa inawatangaza wakiwa Zanzibar (Vanila village Zanzibar).
Hawa ITV ndiyo waliohusika kuwatangaza Kaylinda waliochezesha upatu kwenye mitandao na kisha kukimbia na fedha za watu.. why ITV?
Biashara gani hiyo wakati watu wanatapeliwaHiyo Ni Biashara acha makasiriko
Kwa upande wa Kaylinda serikali imesema ilisajiliwa ili kuuza vyombo vya kielektroniki. Sasa kama ITV ingelikuwa makini ingelibaini kuwa Kaylinda haipaswi kuchezesha upatu.Kilichoharalishwa na serikali, media zinaanzaje kukiharamisha??
Wanadocuments zote zinazowaruhusu kufanya hizo shughuli, kwanini ITV iwatie shaka?