Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Muda utaongea ....vijana wakichoka watajitokeza kupiga kura......acha muda utasemaHilo kundi sio la wapiga kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda utaongea ....vijana wakichoka watajitokeza kupiga kura......acha muda utasemaHilo kundi sio la wapiga kura.
Iko wazi kabisaCCM 2025 bila wizi wa kura, hawatashinda.
Tayari wamechoka, washajua Matunda ya nchi hii ni kwa viongozi na watoto waoMuda utaongea ....vijana wakichoka watajitokeza kupiga kura......acha muda utasema
Kuna Dalili naziona "Dola imechoka kupuuzwa na wanasiasa"hasa inapotoa maagizo hayatekelezwi Kwa mfano katiba mpya!!Changes kwa Tanzania bado sana kutokana na mbinu za CCM za kuiba kura zinakuwa supported na vyombo vya ulinzi na usalama, mahakama na tume ya uchaguzi.
Siku pakitokea changes kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ndio utakuwa mwisho wa CCM. Unadhani kwa nini nchi za afrika magharibi wanapindua serikali? Tena wanaofanya mapinduzi ni wanajeshi wenye umri mdogo.
Maana yake hicho ni kizazi kipya cha vijana wanajeshi ambao wamechoka kutumika na wanasiasa kunyanyasa raia.
Siku hiyo siku ikifika ambayo vyombo vya ulinzi na usalama vikiamua kukataa kuiba kura ndio utakuwa mwisho wa CCM.
Kwa bongo bado ila kuna viashiria. Ccm knows this is why wanajaribu kuwa pull vijana ndani ya ccm kwa kutumia vyama chuoni, mashuleni, kwenye michezo. Lengo ni kuwateka na kuwafunika kiakili before hawajaamka.Changes kwa Tanzania bado sana kutokana na mbinu za CCM za kuiba kura zinakuwa supported na vyombo vya ulinzi na usalama, mahakama na tume ya uchaguzi.
Siku pakitokea changes kwenye vyombo vya ulinzi na usalama ndio utakuwa mwisho wa CCM. Unadhani kwa nini nchi za afrika magharibi wanapindua serikali? Tena wanaofanya mapinduzi ni wanajeshi wenye umri mdogo.
Maana yake hicho ni kizazi kipya cha vijana wanajeshi ambao wamechoka kutumika na wanasiasa kunyanyasa raia.
Siku hiyo siku ikifika ambayo vyombo vya ulinzi na usalama vikiamua kukataa kuiba kura ndio utakuwa mwisho wa CCM.
Wapinzani wakkmae kwenye elimu tuuuu.....watajielewa kofia tishirt khanga ubwabwa....ni dharau sana kwao.....vijana ndio wataleta mabadiliko...nchi hii muda tuuuu.....komaeni na elimu vijana wajitambue.....imeishaa hiyoTayari wamechoka, washajua Matunda ya nchi hii ni kwa viongozi na watoto wao
Ni kweli vijana wamechoka, ila tatizo hakuna mbadala.Tayari wamechoka, washajua Matunda ya nchi hii ni kwa viongozi na watoto wao
Tukishindwa sisi,hao watakaoitoa CCM watatuona tulikuwa wajinga sana kwamba tulitawaliwa na chama cha mambuzi.Changes haziwezi kuzuiwa, kitakuja kizazi kitafanya changes, taratibu vyama vingi vikwonge vitaondoka ni suala la muda
Hatutaki mbadala, tunataka watu wenye visio ya kutupeleka mbele sio kutekwa nyara na CCM .Ni kweli vijana wamechoka, ila tatizo hakuna mbadala.
Akili zako zimeganda sana!Ni kweli vijana wamechoka, ila tatizo hakuna mbadala.
Huwa hamuelewi, pengine ni ubishi asilia.... tutaendelea kushuhudia yale yale.Akili zako zimeganda sana!
Hao wenye vision ndio mbadala, sasa tuwapate wapi?Hatutaki mbadala, tunataka watu wenye visio ya kutupeleka mbele sio kutekwa nyara na CCM .
Hizi sentensi unaandika tu au ili mradi?Nchi nzima hakuna wenye visions?Hao wenye vision ndio mbadala, sasa tuwapate wapi?
Kajiunga na Palestine huyo Ana laana huoni mabalaa yanavyomfuata. Yeye Ndio kafungua kesi ya Netanyahu Mahakamani ICJSioni media za kibongo zikiripoti kiviile yaani unaweza kudhani hakuna uchaguzi mkuu kwa hawa jamaa zetu
Mlishuhudia wapi na lini?Huwa hamuelewi, pengine ni ubishi asilia.... tutaendelea kushuhudia yale yale.
[emoji736]️Media za kubongo nyingi wao ni habari za mipira,wasanii,miziki
Bandika banduaa
Ova