Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
imewauma eeh kupiga picha...mlitaka apige picha na nani??omba omba fc mnataka mtupangie simba....makwasukwasu fc pilipili msiyoila inawawashia nini...KELELE NI NYINGI MAANA DAWA ISHAWAINGIA VIZURIHichi kituko, sijawahi kuona Tajiri anapiga picha na mchezaji anaposaini
Abromovich, Glazer, Mwarabu wa City, Kraonke wa Arsenal
Hii ipo mikiani tu
Huyo jamaa ni tajiri wa Madrid kwa sababu moja ya kigezo cha kuwa raisi lazima kwenye acnt uwe na mzigo zaidi ya budget ya usajili ya team. Ila huyo ni tofauti na Mo kwasababu amepigiwa kula, hatoi pesa mfukoni na nafasi yake ni ya muda tu.ficha upumbavu wako huyo sio tajiri wa madrid ni Rais wao aliyechaguliwa na wanachama
Linaitwa GOR MAHIA FC ni public group, kuna page rasmi ya gor mahia na group vyote vina jina mojaMkuu kama hutojali naweza pata jina la hilo group
Huu ushamba wake ndio umefanya timu ikafika robo fainali CAF... Nafikiri hili unalijua mkuu.Mambo ya kishamba hayo tajiri wa timu kumsainisha mchezaji makaratasi ,only in msimbazi
Yaani wewe jamaa unatakaga mambo yaende unavyotaka wewe!Ajib hawezi kucheza Simba tena na hata ikitokea karudi kwa baba yake Simba misimu sita ijayo atakaa benchi tu.
Alafu ishu ya Mo kutokutoa pesa ni maneno ya mtaani tu (Tetesi) Gor mahia fans wamethibitisha Kahata si mchezaji wao tena wenye chuki wanamponda na wenye kumpenda wanampongeza .
group lipo facebook na hadi linatambuliwa na Gor mahia Fc kwa sababu linaendesha mashindano ya kupata mashabiki wataolipiwa tikiti n.k na Gor mahia official page wana_share.
Jadili mfumo wa kisasa wa Yanga.. haya ya Simba mtuachie wenyewe.Kimemuuma nani?
Tunachozungumza hapa ni mfumo wa kisasa wa kuendesha klabu.
Ni mwenyeki wa bodi ya wakurugenzi ambayo inahusika na hayo... hatuna kamati ya usajili labda kwenu huko.Ko simba hawana kamati ya usajili / mtu anayesimamia usajili?
Maana naona mo mwenyewe ndo kashika karatasi za mkataba.
Kitu ambacho hutamwona tajiri yoyote wa timu akikifanya.
Pancho latino mimi ni mwanachama wa Simba sports club.Yaani wewe jamaa unatakaga mambo yaende unavyotaka wewe!
Ajibu hawezi kucheza simba wewe kama nani??
Heshimu kazi ya mtu. huyo tajiri yenu toka msimu uliopita alikuwa analilia ajibu arudi yeye ni mjinga??
Kama hawezi kucheza simba kabla ya yanga alikuwa anacheza wapi???
Kwetu sisi wapi?Ni mwenyeki wa bodi ya wakurugenzi ambayo inahusika na hayo... hatuna kamati ya usajili labda kwenu huko.
Anawalipa yeye acha awape kandarasi... Zahera kumpeleka Makambo Horoya ni mali yake?.. ni kazi yake?.. anamlipa yeye?... Je ulihoji au ndio kuwashwa huko?
Alokwambia Mimi Yanga nani?Jadili mfumo wa kisasa wa Yanga.. haya ya Simba mtuachie wenyewe.
Nafikiri ni wewe tu hutaki arudi!Pancho latino mimi ni mwanachama wa Simba sports club.
Ajibu hakuna anaemtaka hatumtaki Simba aende anako kujua aliondoka kwa majivuno sana sasa kumuonyesha sisi ni kamati ya Roho mbaya hatumtaki
Kamati nzima ya roho mbaya ya klabu ya simba, waadilifu wa simba hatumtak ajibu na tuko wengi sana ajibu aliondoka kwa kebehi huku haitajiki kabisa.Nafikiri ni wewe tu hutaki arudi!
Hata ofisa habari wenu manara alisema "unaweza ukarudi maana huku ujaua Bob "
Ajibu sidhani kama alikosana na kiongozi yeyote wakati anaondoka pia pale rafiki zake kina mkude, ndemla wanamshauri arudi na tajiri yenu pia! hii inaonesha ajibu ni mchezaji mzuri labda Hassan kessy ndo aliondoka kwa ugomvi
Nafikiri wewe ndo humtaki mkuu
Nafikiri ni wewe tu hutaki arudi!
Hata ofisa habari wenu manara alisema "unaweza ukarudi maana huku ujaua Bob "
Ajibu sidhani kama alikosana na kiongozi yeyote wakati anaondoka pia pale rafiki zake kina mkude, ndemla wanamshauri arudi na tajiri yenu pia! hii inaonesha ajibu ni mchezaji mzuri labda Hassan kessy ndo aliondoka kwa ugomvi
Nafikiri wewe ndo humtaki mkuu
Kweli kabisa 👆 😎Ana.kubali Ajibu kimoyomoyo huyo hujajua tu
Naomba unitajie watu watano wa hiyo kamati ya roho mbaya wewe ni wa sita ambayo unadai haimtaki ajibu!Kamati nzima ya roho mbaya ya klabu ya simba, waadilifu wa simba hatumtak ajibu na tuko wengi sana ajibu aliondoka kwa kebehi huku haitajiki kabisa.
Atacheza wapi wakati sisi tuna ndoto ya kubeba kombe la CAF champions league atatusaidia nini? Sisi tumemlea huyo na kumkuza sasa asake maisha kwingine
Umenipata vzr tu..Kwetu sisi wapi?
Maswala ya zahera yanaingiaje hapa?
Mbona unachanganya mada
Jikombe sasa...Alokwambia Mimi Yanga nani?
Unaweza thibitisha?
Mbona unakurupuka mkuu
Swala ni kuhoji na kujibu hoja sio mipasho unayoleta hapa
Watu wa kamati ya roho mbaya tuko wengi sanaaa siwezi kukutaji.Naomba unitajie watu watano wa hiyo kamati ya roho mbaya wewe ni wa sita ambayo unadai haimtaki ajibu!
Pili tuwekee hapa hizo kebehi ambazo unadai alizionyesha wakati anaondoka, iwe kwa Maneno, picha, video..
Tatu hiyo ndoto ya kubeba CAF (najua unatania) hao wakina zana coulibaly,medy kagere mzamiru yassin ndo watawapa hilo kombe??
Nne unauliza ajibu atacheza wapi, wenzake kwani wanacheza wapi kama siyo uwanjani?? kwa maana hiyo ajibu ni kiungo mbovu? uwezo mdogo kuliko hao kina dilunga??
msimu huu kwenye ligi nani ana assist nyingi kwa upande wa viungo??
tuanzie hapa
Labda usilolijua Coach ametaka wachezaji sita na nafasi amezianisha,hivyo Ni kimya kimya na muda upo,Simba hakusajiliwi Kama upande wa pili,so relax dawa ikuingieWe ushabiki mandazi unakusumbua.Simba na Yanga toka lini zikaanza kusajiri kimyakimya?Hakuna timu duniani inasajiri kimyakimya.
Kama unayo smartphone na ni msomi mzuri,ukienda instagram hata sasaivi au tweeter uone vitu Mo anapost utajuwa kuwa kuna vitu haviko sawa kwake na hasa mambo ya simba.
Mwakajana mlisajiri mapema kikosi kikajulikana mapema.Leo huo utaratibu gani mpya wa kimyakimya.
Subiri vuguvugu hili la msimbazi lipite ndio utaona usajiri ukifanyika nje na hapo basi wachezaji waliopo wanatosha kuivusha simba mwakani.sio lazima kusajiri kiviile.
sawa Bi Hindu na Mzee kilomoni wanakusalimia.Wamesema mpe Mo salamu zakeLabda usilolijua Coach ametaka wachezaji sita na nafasi amezianisha,hivyo Ni kimya kimya na muda upo,Simba hakusajiliwi Kama upande wa pili,so relax dawa ikuingie