Naomba unitajie watu watano wa hiyo kamati ya roho mbaya wewe ni wa sita ambayo unadai haimtaki ajibu!
Pili tuwekee hapa hizo kebehi ambazo unadai alizionyesha wakati anaondoka, iwe kwa Maneno, picha, video..
Tatu hiyo ndoto ya kubeba CAF (najua unatania) hao wakina zana coulibaly,medy kagere mzamiru yassin ndo watawapa hilo kombe??
Nne unauliza ajibu atacheza wapi, wenzake kwani wanacheza wapi kama siyo uwanjani?? kwa maana hiyo ajibu ni kiungo mbovu? uwezo mdogo kuliko hao kina dilunga??
msimu huu kwenye ligi nani ana assist nyingi kwa upande wa viungo??
tuanzie hapa