Kunani msimbazi?

Kunani msimbazi?

Lazima uone ushamba maana hujui mambo...tangu lini shabiki la makwasukwasu fc a.k.a ombaomba f.c likajua mambo yanayoendelea duniani
View attachment 1124063
Hao kwenye picha unawafahamu??huyo anaye m sign unamfahamu??hahaaah kwa hiyo simba ni washamba kama barcelona...hahaaaah
Acha ulofa wewe mbumbumbu fc Mo toka lini kawa rais wa Simba?
 
Sioni kosa la Mo hapo, kwani kwa kushiriki kwake directly kunamfanya yeye kama mwekezaji mkuu kuridhika na mwenendo mzima wa usaili pia wengine wanajifunza jinsi gani ya kuwa makin hasa pale jamaa hatokuwepo by any emergency
 
Acha ulofa wewe mbumbumbu fc Mo toka lini kawa rais wa Simba?
Simba haina kamati ya usajili...huko tulishawaachia makwasukwasu fc wanaochangishana pesa kwenye ndoo ili wapate pesa za usajili...sisi usajili unasimamiwa na bodi na moodewji ndo mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi....sasa sjui kinakuuma nini mwenyekiti wetu wa bodi kusimamia usajili wa wachezaji wetu....ulitaka usajili wetu aje asimamie zahera 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ...alafu nyi ombaomba fc pili pili msiyoila inawawashia nini...nyi endeleeni kuchangishana pesa kwenye mabakuli zahera akija mumpe aende kuwasaidia kusinyaa wachezaji wa laki tanotano kongo😂 😂 😂
 
Klabu gani hiyo ambayo kiongozi mkuu huwa anahangaika na mikaratasi kama anavyofanya mo?
Ushawahi muona Abromovich akifanya kitu kama hicho Chelsea ?
Acha kujifanya unajua
Huyo hapo Tajiri wa Real Madrid akisimamia utiaji saini wa mkataba wa Kocha wa team yake...
images%20(2).jpeg
 
Tasaf fc a.k.a makwasukwasu fc mpo kujifariji.....eti hakuna hati...ukiwauliza hati ya nini wanakwambia hati ya jengo...ukiwauliza mnalijua hilo jengo lilivyopatikana hawajui...hata jengo lao tasaf fc hawajui lilipatikanaje...kuna siku mzee akilimali akiwaambia lile jengo lake tasaf fc watamuamini na watampa,akiwaambia ana hati yake ndo basi tena tasaf fc wote vichwa chini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bi Hindu kasema Mzee Kilomoni akitoa Hati ataolewa na Mo.
 
Bi Hindu kasema Mzee Kilomoni akitoa Hati ataolewa na Mo.
Hahaaah timu sahivi tunampa mzee kilomoni na bi hindu...nyie makwasukwasu fc msituingilie kama mnaona wivu na nyie mpeni mzee akilimali ndo anahati za yanga
 
Yaan mashabiki ndo chanzo cha taarifa ya kuwa kasajiliwa sio tena manara nyie jamaa mmevurugwa
Kwanini umeni_quote nusu na si maneno yote niliyoandika?
Hilo group linafahamika na Gor fc hadi taarifa za group zinakuwa shared kwenye page ya Gor.

Na sio fans tu wanaozungumzia hilo jambo bali ni top fans
 
Hata akitaka timu tumpe iwe yake milele tunampa tu...mashabiki ya makwasukwasu fc kwanini mnateseka mambo ya simba yanawahusu nini...kama mnaona wivuu na nyie mpeni mzee akilimali 😂 😂 😂 ...DAWA IMEINGIA TAYARIIII
Mzee Kilomoni amedai hati hawezi kupewa wa kuja. .MO kazaliwa Singida
 
Makwasukwasu hii Simba inawaumiza sana
Mwanzo mlisema MO hayupo na timu eti kajiengua na hajulihusishi na mambo ya usajili sasa mipicha ya kina Boko wakisinya Ofisini kwa boss mnaanza kuleta viswahili vingine
Tunaelewa Ndala mnataka MO aondoke ili tufanane lakini nawaambieni mnasumbuka tu halitatokea hili

Mo hata akitaka awe kocha sawa,akitaka timu nzima sawa
Hiyo timu ilipokuwa kwa wananchi sisi wananchi tulifaidika na nini zaidi ya kuwalaumu wenyeviti na viongozi wote waliokuwa madarakani

Bora MO achukue timu yote yeye anajua faida na hasara
 
Makwasukwasu hii Simba inawaumiza sana
Mwanzo mlisema MO hayupo na timu eti kajiengua na hajulihusishi na mambo ya usajili sasa mipicha ya kina Boko wakisinya Ofisini kwa boss mnaanza kuleta viswahili vingine
Tunaelewa Ndala mnataka MO aondoke ili tufanane lakini nawaambieni mnasumbuka tu halitatokea hili
Mo hata akitaka awe kocha sawa,akitaka timu nzima sawa
Hiyo timu ilipokuwa kwa wananchi sisi wananchi tulifaidika na nini zaidi ya kuwalaumu wenyeviti na viongozi wote waliokuwa madarakani
Bora MO achukue timu yote yeye anajua faida na hasara

Nimeelewa
 
Ko simba hawana kamati ya usajili / mtu anayesimamia usajili?
Maana naona mo mwenyewe ndo kashika karatasi za mkataba.
Kitu ambacho hutamwona tajiri yoyote wa timu akikifanya.
Mara mo kagoma kutoa pesa, mara anasajili mwenyewe, mwatakaje makwasukwaau?
Mkuu simba kwa sasa mambo yetu tunafanya kimyakimya kelele tumewaachia vyura...angalia hii,hii ni kabda hata timu ya taifa haijaenda egypt but tuliamua tu kukaa kimyaView attachment 1123804
 
Back
Top Bottom