Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Habari zenu wana-jf wenzangu.
Siku hizi za karibuni hapa, waziri wa afya amekuwa akieleza kuhusu mfuko huu, kwamba unajifia kutokana na kuelemewa na madeni!
Na sasa imetoka habari hiyo hapo chini! Je, nini hasa maana ya haya yote?!
Siku hizi za karibuni hapa, waziri wa afya amekuwa akieleza kuhusu mfuko huu, kwamba unajifia kutokana na kuelemewa na madeni!
Na sasa imetoka habari hiyo hapo chini! Je, nini hasa maana ya haya yote?!