Kunani Zanzibar? Ina eneo dogo kuliko Dar es salaam, lakini Rais anahangaika kuiongoza, vikao na waandishi wa habari,fukuza nyingi

Kunani Zanzibar? Ina eneo dogo kuliko Dar es salaam, lakini Rais anahangaika kuiongoza, vikao na waandishi wa habari,fukuza nyingi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kwa jinsi Zanzibar ilivyo, nadhani Ina ukubwa sawa na Dar es salaam. Lakini naona Rais Mwinyi kama ana "struggle " kuiongoza.

Kuna mawili, anataka publicity au ameshindwa kufit katika jamii ya wazanzibari.

Rais Mwinyi anaitisha vikao na waandishi wa habari kuliko hata Rais yeyote wa afrika mashariki. Anafukuza maofisa wake Kila siku, Zanzibar sidhani kama Ina wateule wa Rais wanaofika 70.

Mpaka inafikia kumfukuza mtu, basi Kuna link zinamiss. Ilitakiwa unamanage mambo ya taasisi yake Kila siku na dakika.

My guess, Rais Mwinyi anataka jamii ya watu wa bara imuone anafanana na Magufuli, ili 2025 ateme Kaa la moto la Zanzibar, aje amsumbue tu mama yetu hasa baada ya karata za awamu ya tano kubomolewa. Anasambaza viklipu kuhusu Kodi ili apate lejitimasi

Mh. Mwinyi, Kaa hukohuko muyamalize, ukitaka kurudi,jimbo la mkuranga liko wazi
 
SSH2025.
Kila mtu ale alikoweka jiko lake
 
Wenzetuu wakiamua piga story underground wanasemezana kwelii. Hamna chawa wa kuvujisha mamboo ndo maana full wasiwasi
 
Hao dugu moja pana subua mengine.

Ila ndugu zetu bwana sijui kulikuwa na umuhimu gani wakuwa na Marais watatu katika nchi yenye milioni moja tu.

Yaani Zanzibar ina Rais na Makamu wawili katika population ambayo ni milioni moja tu .

Matumizi mabaya ya pesa za wananchi.
 
Kwahiyo hutaki Mwinyi awashughulikie wezi kama ambavyo mama yenu anawalea kina Mwigulu kisa ataonekana anataka kuja kugombea bara?!

Naona umeshaathiriwa akili kwa huu utawala wa awamu ya sita, nawe umekuwa unaendana na tabia yao ya uvivu mpaka kwenye kufikiri.
 
Kwa jinsi Zanzibar ilivyo, nadhani Ina ukubwa sawa na Dar es salaam. Lakini naona Rais Mwinyi kama ana "struggle " kuiongoza.

Kuna mawili, anataka publicity au ameshindwa kufit katika jamii ya wazanzibari.

Rais Mwinyi anaitisha vikao na waandishi wa habari kuliko hata Rais yeyote wa afrika mashariki. Anafukuza maofisa wake Kila siku, Zanzibar sidhani kama Ina wateule wa Rais wanaofika 70.

Mpaka inafikia kumfukuza mtu, basi Kuna link zinamiss. Ilitakiwa unamanage mambo ya taasisi yake Kila siku na dakika.

My guess, Rais Mwinyi anataka jamii ya watu wa bara imuone anafanana na Magufuli, ili 2025 ateme Kaa la moto la Zanzibar, aje amsumbue tu mama yetu hasa baada ya karata za awamu ya tano kubomolewa. Anasambaza viklipu kuhusu Kodi ili apate lejitimasi

Mh. Mwinyi, Kaa hukohuko muyamalize, ukitaka kurudi,jimbo la mkuranga liko wazi
Si ndio mlisema anayaweza mambo huyu au?

Huwa namuona kama vile hajatulia anafurukuta furukuta utadhani anashindana na mtu..
 
Kweli zanzibar ina eneo dogo sana kiutawala au kimiundombinu na kwa upande wa uongozi zanzibar ina viongozi wengi sana ni kutokana na kwamba wana serikali inaojiendesha mpaka kukusanya mapato.

Ingawa wana hayo na mengine mengi, wananchi wenye uwezo asilimia kubwa wanakwenda Tanganyika kuwekeza na kujenga majumba popote panapowafaa.

Dr. Mwinyi ni Mtanganyika kutokana na historia na hata katika uongozi wake hapo zanzibar wengi wanamsema kama si mzawa wa visiwani, hali hiyo ilipelekea hata ile slogan ya uchumi wa buluu ilipokuwa ikitamkwa ilionekana kama kejeli kwa sasa wananchi wanaogopa kuitamka.

Si kwamba Dr. Mwinyi anajipublish kwa media all times NO, alichagua kila mwisho wa mwezi atakuwa anaongea na vyombo vya habari kwa mustakabali wa uchumi wa Zanzibar ila watu wanamchukulia tofauti.

Kuna watu wanamuharibia chinichini huko na ndiyo maana kama mnakumbuka kuna mmoja aliwahi toka hadharani akapiga msumari wa moto ila yule jamaa leo anajuta huko aliko.

Dr. Mwinyi kwa moyo wake sidhani kama anataka urais wa muungano labda deep cabinet imtake.
 
Zanzibar system nyingi bado ziko.loose sana hivyo kutoa Manyara ya wizi na watendaji wengi sio watu serious sana kama wa Tanzania bara.Dawa wachukue watendaji toka Tanzania bara kwenye maeneo yanayosumbua wawasaidie

Raisi anataka iweko kanda maalumu sijui madaraka yatakuwaje nani atakuwa mkuu wa nani

Mfano Zanzibar kuna mkuu wa Polisi Zanzibar sasa akiteuliwa mkuu wa polisi kanda maalum ya Zanzibar sijui akaripoti kwa nani kwa IGP au kwa mkuu wa polisi Zanzibar ambaye kivyeo ni kama wako sawa

Nafikiri wapelekwe Askari polisi wengi kutoka Tanzania bara ambao wako serious wasio na u yakhe yakhe!! Wa kiswahili
 
Zanzibar ina eneo kubwa kuliko Dsm
Dsm ndo mkoa mdogo kwa eneo
 
Kwa jinsi Zanzibar ilivyo, nadhani Ina ukubwa sawa na Dar es salaam. Lakini naona Rais Mwinyi kama ana "struggle " kuiongoza.

Kuna mawili, anataka publicity au ameshindwa kufit katika jamii ya wazanzibari.

Rais Mwinyi anaitisha vikao na waandishi wa habari kuliko hata Rais yeyote wa afrika mashariki. Anafukuza maofisa wake Kila siku, Zanzibar sidhani kama Ina wateule wa Rais wanaofika 70.

Mpaka inafikia kumfukuza mtu, basi Kuna link zinamiss. Ilitakiwa unamanage mambo ya taasisi yake Kila siku na dakika.

My guess, Rais Mwinyi anataka jamii ya watu wa bara imuone anafanana na Magufuli, ili 2025 ateme Kaa la moto la Zanzibar, aje amsumbue tu mama yetu hasa baada ya karata za awamu ya tano kubomolewa. Anasambaza viklipu kuhusu Kodi ili apate lejitimasi

Mh. Mwinyi, Kaa hukohuko muyamalize, ukitaka kurudi,jimbo la mkuranga liko wazi
Huyu mama hamna kitu Bora mwinyi aje Tu.
 
Anataka ajitoe akili aletwe Bara, hakuna, hatubali, akae kwanza na wenzake huko
Kwahiyo hutaki Mwinyi awashughulikie wezi kama ambavyo mama yenu anawalea kina Mwigulu kisa ataonekana anataka kuja kugombea bara?!

Naona umeshaathiriwa akili kwa huu utawala wa awamu ya sita, nawe umekuwa unaendana na tabia yao ya uvivu mpaka kwenye kufikiri.
 
Kwa jinsi Zanzibar ilivyo, nadhani Ina ukubwa sawa na Dar es salaam. Lakini naona Rais Mwinyi kama ana "struggle " kuiongoza.

Kuna mawili, anataka publicity au ameshindwa kufit katika jamii ya wazanzibari.

Rais Mwinyi anaitisha vikao na waandishi wa habari kuliko hata Rais yeyote wa afrika mashariki. Anafukuza maofisa wake Kila siku, Zanzibar sidhani kama Ina wateule wa Rais wanaofika 70.

Mpaka inafikia kumfukuza mtu, basi Kuna link zinamiss. Ilitakiwa unamanage mambo ya taasisi yake Kila siku na dakika.

My guess, Rais Mwinyi anataka jamii ya watu wa bara imuone anafanana na Magufuli, ili 2025 ateme Kaa la moto la Zanzibar, aje amsumbue tu mama yetu hasa baada ya karata za awamu ya tano kubomolewa. Anasambaza viklipu kuhusu Kodi ili apate lejitimasi

Mh. Mwinyi, Kaa hukohuko muyamalize, ukitaka kurudi,jimbo la mkuranga liko wazi
Pasikie, kule watu na utamaduni wao ukija kivingine huchukui round
 
Back
Top Bottom