concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 3,379
- 6,624
- Thread starter
- #21
haha kaaa mbali na sime tu unaweza jikuna nalo shingoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha kaaa mbali na sime tu unaweza jikuna nalo shingoni
Kuna mambo yanakera sana kwenye hii ardhi yetu, nikitazama wenzangu wanapiga makofi na kuandamana kupongeza kila kitu, kama ni limbwata huyo mganga aliyempa jiwe limbwata katuweza sana watanzania.haha kaaa mbali na sime tu unaweza jikuna nalo shingoni
hawawez kuelewa sasa hivi maana hivi vimishahara uchwara wanavyopata wanahisi wamefika hawajui dhaman wanayoipoteza kwa vipande vya sarafu.nawaonea huruma sana hawa watu maana siku akigeuza upepo kwao =Ccm tuondoleeni pandikizi la Rwanda mlilotubambikizia ,nchi inaangamia hii tena kwa makusudi kabisa .
Kama yasemwayo yapo sitoweka benki hata mia na am likely kuhold dola kuliko shilling uzur Niko mpakani na Zambiasiku waTanzania wakipata akili itakuwa too late.
yanayoendelea yanasikitisha uchumii unaenda kuanguka
Sawa hata mimi nakubali kuwa mzee baba ndo mchawi wetu lakini Mbowe, Matiko Zitto, Lissu na wangine, ndo wamzuia viwanda visijengwe? Tatizo ya mzee baba ni ubishi kwa kuamini ana akili kulioko wote ndani na nje ya sisiem. Hata akina Mbowe wakiachiwa kesho kwa ubishi wa mzee baba uchumi utaendelea kudorora.Mchawi wetu mkubwa ni mzee baba, hataki kuambiwa, anachoongea ni tofauti kabisa na anachokifanya, atoe kauli ya hata ya kuachiwa na kufutiwa makosa akina mbowe matiko zitto, lissu na wangine, awashike mkono, asipofanya hivyo uchumi wetu utazidi kudorora, aweke kwanza amani!😳
Wanyarwanda siyo?Kumbukumba hata walinzi wa ikulu ni warwanda
SWISSME
Ni uwoga uliopitilizaKuna mambo yanakera sana kwenye hii ardhi yetu, nikitazama wenzangu wanapiga makofi na kuandamana kupongeza kila kitu, kama ni limbwata huyo mganga aliyempa jiwe limbwata katuweza sana watanzania.
Hatujui zuri wala baya yote tunashangilia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili iweje?