Ontario pia1.Alexander the Great. Huyu jamaa alitawala Macedonia kuanzia mwaka 336-323. Alianza kutawala akiwa na miaka 20 tu. Huyu ndiye aliangusha utawala wa Waajemi ambayo ilikuwa dola kubwa sana. Utawala wake ulianzia Macedonia, Afrika kaskazini hadi India. Mji wa Alexandria Misri unaitwa jina lake.
2.Yesu. Huyu mtu alianza kuhubiri akiwa na miaka 29 hadi 33. Amefanikiwa kuunda dini kubwa kabisa duniani.
3.Muhammad, alianza kuunda uislam akiwa na miaka 40, bado kijana.
4.Gaddafi alianza kutawala akiwa na miaka 27.
5.Thomas Sankara, moja ya viongozi wa Africa wenye maono makubwa na aliyeifanyia Burkina Faso makubwa kwa muda mfupi alianza kutawala na miaka 33.
6.Kublai Khan founder wa Mongol empire alianza kutawala na miaka 35. Empire yake ilikuwa kubwa nafikiri haijawahi tokea.
7.Spiderman mwenyewe anafanya mambo makubwa japo ni kijana mdogo sana🙂🙂🙂
Alexander the great aliwahi sema "fortunes favors the bold' inaonekana boldness hupungua umri unavyoenda hivyo kunafaida ya kuwa na viongozi vijana. Tungeanzia 21 kama wabunge.
Kuna sababu yoyote ya msingi ya Rais aanzie miaka 40?
Palantir , JokaKuu , zitto junior
Hebu mtupe mawazo, je tushushe Uraisi wa nchi hadi kufika miaka 25 ???
Ndiyo maana nimekuita ili nisikilize busara zako Mkuu...itabidi kwanza utupe mifano ya hapa Tz.
..unafikiri kuna vijana ambao wangelifaa lakini wakakosa kwa kigezo cha umri.
..Je, kwa mazingira(weak institutions) ya kawaida ya Tz, na kuzingatia mfumo wetu wa elimu, unafikiri umri chini ya 40 years anaweza kukabidhiwa usukani?
Kuandika kunakushinda ndio utaweza kuielewa Dini ya kweli?Utajaribu Uzi wawatu Burr
HV kwann mnakataaga ukweli??
Zero brainWewe umesoma wapi kuwa s.a.w sio muaanzilishi wa hiyo dini??
Hivi unajua maana ya dini??
Kama Mohammed sio mwanzilishi he nani alianzisha hiyo dini??
Iman kitu BAYA sana
Me hicho kigezo kushushwa mpaka miaka 21 napingana nacho, atleast kishuke mpaka 35, kwanza kashatoa mifano ya viongozi kama Sankara na Khan wote walianza around 30s.Palantir , JokaKuu , zitto junior
Hebu mtupe mawazo, je tushushe Uraisi wa nchi hadi kufika miaka 25 ???
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me hicho kigezo kushushwa mpaka miaka 21 napingana nacho, atleast kishuke mpaka 35, kwanza kashatoa mifano ya viongozi kama Sankara na Khan wote walianza around 30s.
Kwa maisha ya kiafrika na taasisi zetu za uraisi madaraka wanayokuwa nayo haitakiwi vijana wadogo tutashuhudia makubwa ya kutisha!.
Uraisi ni kama kukabidhiwa dunia yako Tanzania sasa kumbebesha mahitaji ya watu zaidi ya millioni 40 kijana wa miaka 21 ambaye ndio kwanza katoka kubalehe hakajajua hata maisha ni nini?, ni kutafuta matatizo, Miaka 35 at least!.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna vijana kama Zito Kabwe na John Mnyika nilikuwa naona wana uwezo mkubwa kuliko over 40 wengi sana. Sidhani kama kuwa na uwezo wa kuongoza na kuelewa mambo yanahusiana na kuendesha nchi kunategemea umri. Viongozi wazee akili zao zote walitumia ujanani na sasa wanaishi kwa mazoea. Ndiyo maana wengi bado wanahisi tupo kwenye ujamaa. Wengi wao huwa Nostalgic, longing for the good old days hata kama kiuhalisia hazikuwa good.Uraisi ni kama kukabidhiwa dunia yako Tanzania sasa kumbebesha mahitaji ya watu zaidi ya millioni 40 kijana wa miaka 21 ambaye ndio kwanza katoka kubalehe hakajajua hata maisha ni nini?, ni kutafuta matatizo, Miaka 35 at least!.
Amna endeleeni bana,kuptia challenge mnayobishana wengine tunapata pointDuuh haya mkuu ain't here for league mkuu wala sikulazimishi kuamini kama uko really curious katafute data mwenyewe naona hapa tutabishana bila faida
Mugabe aliingia na miaka 50 na akang'ang'ania miaka karibu 40!!.Hivi ukipata rais mjinga mjinga kama ujuavyo,halafu akawa na miaka say 30 akang'ang'ania madarakani nchi itakuwaje?
We unajua wabongo tulivyo na roho mbaya!Bora aje umri ukiwa umeenda ili akitoka hapo kachoka!
Uwe unafikiri vizuri kabla ya kutoa mawazo tata!We unaona hali ilivyo kabisa halafu unatamani mtu anayeweza kukomaa hadi miaka 25-30 madarakani!
Huu ndio ukweli ebu ona akina Joseph Kabila, Yoweri Mseveni, Gadafi wote hawa walianza urais wakiwa vijana baada yya hapo ni kugoma kutoka madarakani.Mkuu mie naona tatizo ni kuwa RAIs akiwa kijana na akimaliza muda wake akiwa bado kijana BASI KUNA possibility NYING ZA KUKATALIA MADARAKANI
MADARAKA MATAMU ASIKWAMBIE MTU