Kunawakati mwanamke aweza kuamka amenuna tuu.

Kunawakati mwanamke aweza kuamka amenuna tuu.

Engager

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2011
Posts
1,522
Reaction score
3,255
Jana usiku wakati mnaenda kulala mlikuwa fresh tu. Mmelala ila hukumpelekea moto, asubuhi anaamka amenuna. Anaamka anafanya kazi zake za asubuhi hakusemeshi. Kama mna watoto, yaani ni full kufokewa utafikiri hakuwazaa yeye. Unajaribu kuscan umefanya kosa gani over a night unajikuta mbona hamna kibaya umefanya!

Funny thing about women walioolewa, waliowengi hata akiwa na nyege haombi game. Anasubiri ujiongeze.

Ukikutwa na wewe hauna mood siku hiyo, hupeleki moto. Matokeo yake ndo hayo. Mtu anaamka asubuhi kanuna tu. Wanawake bwana. Wanakuwaga na tu vituvitu sana😅😅

Sasa akiamka na mood hiyo, nawewe ikawa bahati siku hiyo hutoki, msikiliziea tuu. Mwache afanye shughuli zake za asubuhi na minuno yake, mpaka amalize. Mwanamke msafi akishamaliza shughuli za asubuhi kabla hajanywa chai, anakwenda kuoga.

Akitoka huko kuoga, akiwa anajiandaandaa kuvaa pale, mvutie uwanjani. Peleka moto hadi uhakikishe anakitupa. Utakuja kunishukuru🙂
 
* Kaza sana mifuniko ya ndoo za maji na weka vitu vizito sana kuvisogeza ndani zigizaga.

* Kausha tu maana hawezi kukaa kimya milele.

* Bonyeza kitufe cha UTANI atacheka vizuri sana ikiwa unampatia kiutani.
 
Hali hiyo nilipiga.rufuku nyumbani kwangu, sitaki kuona amenunua kama kuna jambo ni lazima tutaongea, sitaki kuwafikia watoto wala mtoto wa kazi.
 
Sasa kama kanuna kwa kukataliwa hela ya kikoba hapo moto utasaidia nini? Hata papuchi hakupii😂😂
 
Mbona kama umefanya hitimisho mkuu, hajaja kulea watoto hapo kafata kitu kimoja cha muhimu mpe yaaani mpe mpaka asijutie kuja kwanini uruhusu awe na hasira na dawa unayo
 
Jana usiku wakati mnaenda kulala mlikuwa fresh tu. Mmelala ila hukumpelekea moto, asubuhi anaamka amenuna. Anaamka anafanya kazi zake za asubuhi hakusemeshi. Kama mna watoto, yaani ni full kufokewa utafikiri hakuwazaa yeye. Unajaribu kuscan umefanya kosa gani over a night unajikuta mbona hamna kibaya umefanya!

Funny thing about women walioolewa, waliowengi hata akiwa na nyege haombi game. Anasubiri ujiongeze.

Ukikutwa na wewe hauna mood siku hiyo, hupeleki moto. Matokeo yake ndo hayo. Mtu anaamka asubuhi kanuna tu. Wanawake bwana. Wanakuwaga na tu vituvitu sana😅😅

Sasa akiamka na mood hiyo, nawewe ikawa bahati siku hiyo hutoki, msikiliziea tuu. Mwache afanye shughuli zake za asubuhi na minuno yake, mpaka amalize. Mwanamke msafi akishamaliza shughuli za asubuhi kabla hajanywa chai, anakwenda kuoga.

Akitoka huko kuoga, akiwa anajiandaandaa kuvaa pale, mvutie uwanjani. Peleka moto hadi uhakikishe anakitupa. Utakuja kunishukuru🙂
Sasa kwa nini niombe gam wakati unajua ni wajibu wako kunipa, yaani ni sawa na niombe hela ya matumizi wakati unajua unatakiwa kunipatia

Kukuomba ni sawa na kukulazimisha kutimiza wajibu wako

Hebu acheni uvuvu timizeni wajibu wenu
 
Tuishi nao kwa akili... mwanamke anaendeshwa na hisia mwanaume na akili.. kazi kwako
4ef72c1ab81e8cfec1851c98f1b5b258.jpg
 
Mwanume unakaa na mwanamke ananuna kwanza hiyo nafasi anatoa wapi setini mipango yenu ahakuna mkamilifu ila kujua mambo ya muhimu ni jambo jema
 
Sasa kwa nini niombe gam wakati unajua ni wajibu wako kunipa, yaani ni sawa na niombe hela ya matumizi wakati unajua unatakiwa kunipatia

Kukuomba ni sawa na kukulazimisha kutimiza wajibu wako

Hebu acheni uvuvu timizeni wajibu wenu
Mwanaume nae ni binadamu anahitaji aone mzingira flani ya mitego wengi wanatoka nje maana wanavyovikuta nje wakija ndani hawavipati ww unabaki na kiburi eti si kazi yake na ww kazi yako ni nini na mwanamke mwenye akili kama yako hata mapenzi hajui mnabakigi kuringia sura na shape wakati sisi tukipata mtu anaejua kuitoa mbususu vizuri hatuangalii sura wala shape kila mmoja atimize wajibu wake
 
Mwanaume nae ni binadamu anahitaji aone mzingira flani ya mitego wengi wanatoka nje maana wanavyovikuta nje wakija ndani hawavipati ww unabaki na kiburi eti si kazi yake na ww kazi yako ni nini na mwanamke mwenye akili kama yako hata mapenzi hajui mnabakigi kuringia sura na shape wakati sisi tukipata mtu anaejua kuitoa mbususu vizuri hatuangalii sura wala shape kila mmoja atimize wajibu wake
Ndio maana tunaitwa wanawake, mitego na ishara hazikosekani ndani mnapokua chumbani ila kuna wanaume makauzu, unamtega wee waaapi, kwa mtindo huo lazima mwanamke anune
 
Yan kuna time uwa wanajisikia kununa tu awa viumbe [emoji28] imagine usiku mmelala vizuri ad mnacheka mnaamka asubuh Mtu kanuna ata salamu hakuna [emoji34] unabak unajiuliza au wakati nimelala kashika simu yangu
 
Back
Top Bottom