Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Waasi wa kundi la Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen walitoa video ya kile walichokisema kuwa ni kurusha makombora ya balestiki katika Israel.
Msemaji wa jeshi la Houthi Brigedia Yahya Saree, alidai kurusha makombora ya balestiki na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israel, akisema hiyo ni operesheni ya tatu ya aina hiyo na kwamba wanapanga kufanya mashambulizi zaidi "hadi uvamizi wa Israel huko Gaza utakapokoma".
Mapema mwezi huu, jeshi la wanamaji la Marekani lilinasa makombora matatu yakisafiri angani yaliyorushwa kuelekea Israel na kundi la Houthi.
Msemaji wa jeshi la Houthi Brigedia Yahya Saree, alidai kurusha makombora ya balestiki na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israel, akisema hiyo ni operesheni ya tatu ya aina hiyo na kwamba wanapanga kufanya mashambulizi zaidi "hadi uvamizi wa Israel huko Gaza utakapokoma".
Mapema mwezi huu, jeshi la wanamaji la Marekani lilinasa makombora matatu yakisafiri angani yaliyorushwa kuelekea Israel na kundi la Houthi.