Mwanangu ana umri wa miaka miwili kasoro!
Ana uchu wa samaki kinoma!
Lakini bahati mbaya kila akila samaki anajikuna na kutokwa vipere mwili mzima mithili ya kupitiwa na mdudu washawasha!
Je, nitumie mbinu au dawa gani ili mwanangu aendelee kula samaki bila shida hii ya kujikuna (allergy /mzio)?
Msaada tafadhali wazazi wenzagu!
Ana uchu wa samaki kinoma!
Lakini bahati mbaya kila akila samaki anajikuna na kutokwa vipere mwili mzima mithili ya kupitiwa na mdudu washawasha!
Je, nitumie mbinu au dawa gani ili mwanangu aendelee kula samaki bila shida hii ya kujikuna (allergy /mzio)?
Msaada tafadhali wazazi wenzagu!