sina uhakika kama kuna huo uhusiano ila nitarudi tena baadaye kwa maelezo mengine muda nawahi kwenye maombi...
Kuna uhusino wowote kwa makundi ya damu ya mwanamke na mwanaume kusababisha kushindwa kupata mimba kwa mwanamke endapo wataoana hasa kwa kundi (mwanaume) A negative na (mwanake)B negative kushindwa kupata mtoto.
damu group hazizuii kupata mimba ispokuwa utapata ila itaharibika mapema, mama akiwa Rh postive na baba akiwa Rh negative na Baba akawa Rh Positive bila kujali A au B au AB ni ni Majanga, hasa mama akipata mimba ya mtoto wa kwanza amnae Rh postive. mimba ztakazofuata ztaharibika zote otherwise achomwe sindano ya kinga iitwayo ANTI-D
Nimewapata vizuri nawahukuru kwa melezo yenu na ushauri mbariwe sana.