Kundi la makoma

pilato93

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
6,296
Reaction score
6,692
Kuna kundi hili la makoma hawa wakongo walikuwa wanaishi Belgium hivi bado wapo na maswala ya muziki au walishaachaga muziki maana Kuna nyimbo yao ya buti na moyi ilikuwa inanikosha sana japo siilewi mwenye ufahamu a nijuze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…